Diwani wa Kata ya Wazo, Mhe. Wakili Leonard Tungaraza Manyama, ameonya kuwa mtu yeyote anayefanya vitendo vinavyoweza kuzuia ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hafai kushika nafasi za uongozi.
Mhe. Manyama alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wazee na wanachama wa CCM katika Tawi la Mivumoni, mtaa wa Mivumoni, Kata ya Wazo, Manispaa ya Kinondoni.
Mtu yeyote anayefanya jambo lolote linalopelekea CCM kukosa kushika Dola, hafai kuwa Kiongoziโ alisema kiongozi huyo
Your browser is not able to display this video.
=======================================
Hivi viongozi wa CCM hizi kauli wanazotoa hawajui zinaweza zikatumika dhidi yao?
Diwani wa Kata ya Wazo, Mhe. Wakili Leonard Tungaraza Manyama, ameonya kuwa mtu yeyote anayefanya vitendo vinavyoweza kuzuia ushindi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) hafai kushika nafasi za uongozi.
Mhe. Manyama alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na wazee na wanachama wa CCM katika Tawi la Mivumoni, mtaa wa Mivumoni, Kata ya Wazo, Manispaa ya Kinondoni.
Mtu yeyote anayefanya jambo lolote linalopelekea CCM kukosa kushika Dola, hafai kuwa Kiongoziโ alisema kiongozi huyo
jimboni kwangu yeyote anaeshabikia upinzani hutengwa kuanzia ngazi ya familia yake, kwasabb mtu huyo huonekana kama laana na mkosi kwa familia au jamii husika.