Dk. Samia tunaomba mradi wa Bwawa la Nyerere uitwe Magufuli HEPP

Dk. Samia tunaomba mradi wa Bwawa la Nyerere uitwe Magufuli HEPP

Hebu tuwaze.. imagine miradi mingine yote iliyopo nchini toka uhuru ingekua na Majina Nyerere.. Mwinyi.. Mkapa.. Jakaya.. yaani miradi yote iwe na majina hayo tu ili kuwaenzi.
Hii inaonesha alifanya vitu vichache vya kuhesabika.

Fikiria Nyerere;

HOSPITALS
Muhimbili hospital
Mbeya Referal

USAFIRISHAJI
Reli Tanzania to Zambia
Barabara Tanzania to Zambia
Ndege 13, zote mpya jet engine

MABWAWA YA UMEME
Kidatu
Mtera

VIWANDA
TBL
Urafiki
Mutex
Mwatex
Mbeyatex,
Bora Shoe
General Tyre
Swala
TAMCO
Sigala
Mbuni sabunu
TANALEC, na vingine vingi

VYUO
UDSM
Sokoine
Mzumbe
Dar Tech
Arusha Tec
Chang'ombe,
Kleruu
Sekondari na high schools nyingi za viwango vya juu visivyoweza kukaribuwa na takataka za siku hizi.

Na miradi mingine mingine.

Watu wanasema kila kilichoanza kujengwa wakati wa magufuli kiitwe kwa jina lake, kwa sababu ni vichache, vya kuhesabika, na hakuna hata kimoja ambacho alikikamilisha katika kipindi chake cha miaka 5.
 
Chimbeni jingine huko Chato mliite jina lake,tabia ya kipuuzi sana kila kitu kupachikwa majina ya watu.
Mbona mabwawa yote ya zamani yanaitwa kwa asili ya eneo lilipo kuna mtera,kidatu,kihansi n.k
Akishindwa kukuelewa hata baada ya mifano hii, mpuuze. Atakuwa na tatizo kubwa kuliko tunavyofikiria.
 
Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Apewe jina la bwawa pesa zinazolipwa zinatoka kwenye account binafsi aliyoacha?
Jina la Bwawa litokane na jina asilia ambapo bwawa linapatikana
 
Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Unafahamu ni nani aliliita Bwawa la Nyerere pamoja na ile Hifadhi? Tafuta halafu chagua kufuta hii hoja. 🙏🙏🙏
 
Nyie misukule ya Magufuli ina maana hamheshimu mawazo ya mtu wenu aliyesema liitwe kwa jina la Mwalimu Nyerere?
 
Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
BIG NO! hivi ni kwanini mnataka kutuchefua kwa kutukumbusha machungu?
 
Nakuhakikishia Jina Litabaki Kama Utaratibu Ulivyo Hatuna Nafasi Ya Jina Jipya
 
Nakuhakikishia Jina Litabaki Kama Utaratibu Ulivyo Hatuna Nafasi Ya Jina Jipya
Hata hivyo ilo bwawa kuitwa bwawa la Nyerere bado ni makosa ya kiufundi au ilkua ni kujipendekeza kwa alieanzisha bwawa hili,
Mwl nyerere kama taifa tumeisha mpa heshima ya kutosha mpaka kumuweka kwenye sarafu yetu,

Bwawa lilitakiwa na jina la asili hapo linapopatikana
 
Hata hivyo ilo bwawa kuitwa bwawa la Nyerere bado ni makosa ya kiufundi au ilkua ni kujipendekeza kwa alieanzisha bwawa hili,
Mwl nyerere kama taifa tumeisha mpa heshima ya kutosha mpaka kumuweka kwenye sarafu yetu,

Bwawa lilitakiwa na jina la asili hapo linapopatikana
Stiglers Gorge is the best name for this
 
Ww na nani? Mm na familia yangu tuaomba libakie jina ilo ilo tu.
 
wanavyomuogopa kama ukoma huyo mchato hawawezi kuthubutu. Wanatamani wafute 2015-2021 kwenye historia kwa roho zao mbaya
 
Stiglers Gorge is the best name for this
Julius Nyerere Hydropower Station (JNHS; RHHP; Rufiji Hydroelectric Power Project; Stiegler's Gorge Dam) is a hydroelectric dam under construction across ...
Construction cost: US$2.9 billion

Construction began: 2019

Location: Stiegler's Gorge, Morogoro Region, Tanzania

Total capacity: 34,000,000,000 m3 (1.2×1012 cu ft

Note
Badala ya iyo jina unasema ,kwamba pale hakuna kivutio chochote tunaweza ita bwawa husika , kwamba wakati tunaita jina la bwawa na bado tunatangaza utalii wa ndani, lazima tuwe wabunifu bwana
 
Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
hilo jina mwite mwanao hilo bwawa lina jina tayari la baba wa Taifa hili. Huna adabu mbwa we
 
Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Unaomba wewe na nani?
 
Back
Top Bottom