Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Naungana Mkono na wewe Mkuu,
Ambaye Anapinga Ni mtu Ambaye Hana Fadhila Yoyote Hata umtendee Nini
Ambaye Anapinga Ni mtu Ambaye Hana Fadhila Yoyote Hata umtendee Nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chimbeni jingine huko Chato mliite jina lake,tabia ya kipuuzi sana kila kitu kupachikwa majina ya watu.
Mbona mabwawa yote ya zamani yanaitwa kwa asili ya eneo lilipo kuna mtera,kidatu,kihansi n.k
Jisemee mwenyewe. Ubaki kuitwa kama inavyoitwa maana yeye ndiye muasisi wa huo mradi.Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Naunga mkono hojaKwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Nina uhakika si majina ya watu.Una uhakika gani Kama mtera,Kidatu Hawakuwa Watu
Tunaomba Mungu azuie huo upumbavu usitokee kamwe!Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Kwanini lisiitwe "Mwananchi" si Kodi za watanzania zimetumikaKwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Zimwi lililofanya mambo makubwa kwa Watanzania na tunajivunia kuwa nae. Hata kama leo hayupo, Watanzania tunatembea kifua mbele kwasababu yake!Zimwii
Asante, akili za hawa wapigania 'regacy' ni bure kabisa.So jina la Nyerere lifutwe?
Weka udhibitisho wa unachokisema Ili usionekane mpuuziHapana. Nakataa na kupinga kwa nguvu zote hilo, kamwe hilo bwawa haliwezi kuitwa jina la yule mhuni, fisadi na muuaji - Magufuli. Big NO!
After all aliiba sana kwenye huo mradi.
Sheria inasema "Mhalifu hawezi na hapaswi kufaidika na uhalifu aliotenda"
Tuanze na ripoti za CAG; 2020-2022.Weka udhibitisho wa unachokisema Ili usionekane mpuuzi
Mnapoelekea hata nchi mtaaomba iitwe magufuli republic ,Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno