Dk. Samia tunaomba mradi wa Bwawa la Nyerere uitwe Magufuli HEPP

Dk. Samia tunaomba mradi wa Bwawa la Nyerere uitwe Magufuli HEPP

Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Una omba wewe na nani?
 
Kwakuwa Sasa Bwawa la Stiglers limebakisha MITA 8 za kujaa maji kiwango Cha kuzalisha Umeme, yaani imefika MITA 155.8, na tayari mpaka Sasa maji yaliyomo katika Bwawa Hilo Toka limeanza kujazwa mwezi wa 12 mwaka linafanya Kwa Sasa ndo Bwawa lenye maji mengi zaidi ya mtera , na Nyumba ya Mungu, japokuwa halijajaa mpaka juu.
Na kwakuwa Serikali pia IPO Karibuni kuanza kupandikiza Samaki na kuneemesha sekta ya uvuvi , na Mashamba ya mh. Bashe chini ya wizara yake.
Sasa ni wakati wa kumuenzi Magufuli na kuliita Hilo Bwawa kwa jina lake, maana amethubutu mno
Kwani hiyo mtangulizi hakuona umuhimu wa hilo bwawa kuitwa kwa jina lake? Mtangulizi alibariki liitwe kwa jina la Nyerere halafu leo aliyeko madarakani afanye mapinduzi ya juu kwa juu?

Kesho au keshokutwa akija rais mwingine na akakuta kuna mradi uliofanywa na huyu aliyeko madarakani na katika kuuendeleza akaukamilisha bila shaka utadai mradi huo uitwe kwa jina la mtangulizi wake. Bongo kweli ni Gongo.
 
Back
Top Bottom