Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
How?Zero grazing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
How?Zero grazing
Bwana mdogo Dr Abbasi ana umri gani mkuu? Na hii ni ndoa yake ya kwanza?Naona waporipori mnaandika msiyoyajua. Huyo Dr.Abbas ni bwana mdogo hana uzee wowote. Mtoto wa Mwananyamala amekulia huko.
Ni bwana mdogo sana.
Na kuna vidume kwa ugumu wa maisha vinaona wivu wanatamani wangepewa maku waolewe wao.
Hapana sio ya kwanzaBwana mdogo Dr Abbasi ana umri gani mkuu? Na hii ni ndoa yake ya kwanza?
"Ero, kama wewe iko na mbesai tapata ndito, lakini kama wewe iko ndoroboi we hata Koko uwesi pata" alisikika Lwaigwanan mmoja huko Oloiborsoit akiwaeleza rumegi waliokuwa wamekwenda huko kutalii.View attachment 2464034
Sikia huyu...
Mkuu ww ndo the REMEDY??Weka Maneno.....
Kalala Nayo.....
Tatizo liko wapi Kama vijana wenyewe hawataki kuwaoa, Bora wazee wawasitiriWanawake wa kiislamu ni watumwa sana kwenye mahusiano. Yaani binti mzuri Mke wa tatu! Ptyuuu uzinzi na
Uchafu tuuu
Jamaa ana 44Bwana mdogo Dr Abbasi ana umri gani mkuu? Na hii ni ndoa yake ya kwanza?
Nipo Hansen Mkuu na yul jamaa vipi?Unipe contact zako mkuu!!?msm
John hapatikani naon kawa bize Sana sijui kapatwa na niniNipo Hansen Mkuu na yul jamaa vipi?
Nilotoa Hadi namba ya mtu kupokea mzigo hapo dar lakini no,🤷nilikutumia nawewe pia!!!!Nipo Hansen Mkuu na yul jamaa vipi?
Labda yuko njiani kuelekea kikomo ni fourKwamba jamaa alikuwa bachelor !!
Waislamu hawavishani Pete mkuu,Ila wameiga kwa wakristo.Kwa Wakristo, kwenye ibada ya ndoa, kuna kipengele cha kuvikana pete ,na ni baada ya hizo pete kubarikiwa. Kwa wenzetu, kuna utaratibu gani kwenye kuvikana pete?
Hapa kaingia kingi😆😆Hii dunia haiishi vibweka.
Katibu mkuu wizara ya utamaduni, sanaa na michezo amefunga ndoa na mtangazaji wa clouds kipindi cha XXL mamy baby mkoani tabora.
Ni kweli huyu mkuu hakua na mke mwanzo au kaongeza ubavuView attachment 2463595