Dkt. Abbas na Msigwa lazima mazingira yenu ya kazi yawe magumu kufanya kazi na Nape Nnauye

Dkt. Abbas na Msigwa lazima mazingira yenu ya kazi yawe magumu kufanya kazi na Nape Nnauye

Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Nape hajawahi kuwa muumini wa uhuru wa kujieleza, anachokifanya ni sawa na kupakua choo alichokinyea yeye tu
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.

Sasa DKt Abbasi na Nape wanakutana wapi mbona wapo wizara tofuati? Halafu wapate shida gani kwa sababu hao wote kazi yao ni kufata maelekezo na kufata upepo unapo elekea hakuna mwenye msimamo wake hapo zaidi ya kuserve msimamo wa master...wote hao pamoja na Nape ni wafata mkumbo tuu
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Sijui kama ni mtazamo wangu tu. Lakini toka kipindi cha mwendazake nilimuona Nape kama moja ya mawaziri walioziweza vizuri wizara zao, akiwemo Lukuvi, Dr. Mwinyi (Ulinzi)
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Kwani hizo kazi wanafanya za nape au kwa mjibu wa taratibu na kanuni za wizara?
Pia ujue nape hakuwaajili, na ataondoka hiyo wizara atawaacha.
Sasa sijui kama unalijua hilo
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni
Msigwa hawezi teseka jakaya ndio mtu wake sana toka akiwa TBC SONGEA
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Mabwana au machawa wa Jiwe😀
 
Kuna makosa mengi kwenye post yako
  • Nape hakujiuzulu
  • Dr.Abbas hayupo chini ya wizara ya habari
Rekebisha ili ulete mantiki ya ulichokusudia
 
Nape anapenda kuwe na uhuru wa kujieleza? Hv ni umasikini wetu au ni uafrika unatufanya tunasahau Mambo mapema hvyo. Yaan jamaa atuzimie buñge leo tushasahau
 
Toka lini Dkt Hassan Abbas yuko Wizara ya Habari, mawasiliano na tekinologia ya habari?

Hili jukwaa kwa sasa limeshuka sana kihoja likichangiwa na watu wa aina yako.

Umeonyesha hujui hata makatibu wakuu wa wizara kwa sasa.

Fanya kwanza utafiti kabla ya kuonyesha ujinga wako kwa watu wenye uelewa mpana wa mambo yanayoendelea nchini!

Dkt. Hassan Abbas kwa sasa ni Katibu Mkuu katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Uko sahihi, lakini hakuna mtu makini anafuatilia kwa uhakika nafasi za hayo majizi ya kura kwa sasa. Mleta mada hajajikita sana kwenye nafasi zao za sasa, bali ni misimamo yao wakati wa yule kiongozi dhalimu, na sasa inapinduliwa kama sehemu ya kuwaproove wrong kwenye utawala wao wa kishetani.
 
Nape anapenda kuwe na uhuru wa kujieleza? Hv ni umasikini wetu au ni uafrika unatufanya tunasahau Mambo mapema hvyo. Yaan jamaa atuzimie buñge leo tushasahau

Kwa taarifa yako hakuna yoyote anayemsifia Nape maana unafiki wake unafahamika. Ila mleta uzi kajikita kuhusu hao akina Abbasi kwenye utawala wao kihayawani.
 
Nape hajawahi kujiuzuru uwaziri.

Ni vema kuweka kumbukumbu sawa kwenye hili.

So far, Gerson na Dr. Abasi hawana option zaidi ya ku-serve the new master who definitely serves the pleasure of the appointing authority.
Kwani hawawezi kumuiga Slow slow?
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
madikteta hayana nafasi kwenye ulimwengu uliostaraabika.
 
Labda useme wewe watakuelewa.Nape ameachia magazeti ya watu waliomshtaki Paul Makonda.Hii ni gharama ya kulipa kisasi si uhuru wa vyombo vya habari
Team roho mbaya mtakoma mwaka huu.
 
Mie mjinga mjinga naamini haya magazeti yamefunguliwa kuimarisha Chadema ili isaidie kuchafua Wagombea wa Ccm wasiotakiwa na mfumo kama ilivyokuwa kwa Ndugu Ngoyai 2007-2015
Duh!...yaani kuna Vita ya makundi huko Ccm?
 
Toka lini Dkt Hassan Abbas yuko Wizara ya Habari, mawasiliano na tekinologia ya habari?

Hili jukwaa kwa sasa limeshuka sana kihoja likichangiwa na watu wa aina yako.

Umeonyesha hujui hata makatibu wakuu wa wizara kwa sasa.

Fanya kwanza utafiti kabla ya kuonyesha ujinga wako kwa watu wenye uelewa mpana wa mambo yanayoendelea nchini!

Dkt. Hassan Abbas kwa sasa ni Katibu Mkuu katika Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Kokote alikojificha aondoke , huyu ni sehemu ya maharamia , hata wewe ni miongoni mwa mashetani yaliyo support kila unyama wa jiwe , hukutakiwa kuendelea kubaki jf
 
Mie mjinga mjinga naamini haya magazeti yamefunguliwa kuimarisha Chadema ili isaidie kuchafua Wagombea wa Ccm wasiotakiwa na mfumo kama ilivyokuwa kwa Ndugu Ngoyai 2007-2015
woga wenu tu
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.
Nape pamoja na kuwa Siyo brilliant person but is a bit wise kumlinganisha na viongozi wengi vijana kama akina Mwigulu.
 
Nawaonea huruma sana hawa mabwana wawili Dkt Hassan Abbas na Gerson Msigwa ambao kimsingi ni wapenzi wa mfumo wa Mwendazake, walifanya kazi katika viburi vikubwa sana. Walitoa majibu ya hovyo sana kila walipoulizwa na wanahabari kuhusu uhuru wa habari.

Leo hii wamekutana na aliyekuja juu yao ni muumini katika uhuru wa kujieleza ambaye mfumo wa Mwendazake ulimshinda kufuatia kujiuzulu abaki benchi. Navuta picha kuona jinsi Dkt Abbas anavyoteseka tena akiwa mtendaji wa Wiza ile ile baa ya kuona Magazeti ambayo sliyafungia yeye sasa yanafunguliwa tena bila masharti.

Msigwa baada ya Mtangulizi wake naye aliendeleza majibu yale yale ingawa naye hakushangaza sana kwakua alikuwa kipenzi cha Mwendazake,naye pia hakupenda mfumo wenye uhuru wa kujieleza. Leo hii sasa bosi wao ndani ya wizara ile ile anaelekeza magazeti yafunguliwe. Hawana la kufanya zaidi ya kutii amri tuu.

Kupitia haya yanayotokea naamini Dkt Abbas na Msigwa mnajifunza. Acheni hizi roho mtambue siku zote dunia ni duara.

Binadamu hubadilikabadilika na mara nyingi mabadiliko hayo yanachochewa na sheria na utawala unaowasimamia; japo wengi wenye ubinafsi hubadilika kutokana na uhitaji wao. Kwahiyo katika kubadilika huko ndio unaweza kuujua umakini, uzalendo, ukweli na utu wao



Rest well our hero President John Pombe Joseph Magufuli

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
 
Back
Top Bottom