Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Unapomnyooshea mwenzako kidole vingine unajinyoonyeshea mwenyewe. Nani aliikufundisha kuanza sentensi kwa herufi ndogo?Hata kuandika tu hujui AKIKI kubwa ndio nini? hata hueleweki haya edit ulichoandika.Kuandika tu kiswahili kunakushinda .Umejifunzia kiswahili ukubwani? rekebisha hiyo AKIKI yako
Kiingereza kingekuwa rahisi huyo Katibu Mkuu wenu ( zamani Msemaji wa Serikali ) na Msomi wa Hadhi ya PhD ( tena ya Mawasiliano na Habari ) kingemshinda hivyo mpaka 'Kukikosea' na sasa tunamjadili hapa kwa Kujiaibisha na Kujichoresha vile?Vaa nduguyangu twende mbele, English is one of the simplest languages usimsikilize huyu Gentamycine.
Hahaaaaaa [emoji38][emoji28][emoji38][emoji28] kweli hii lugha ilikuja na Meliminor not miner
Usituchoshe hapa kwa Ujuha wako huu.Huyu mkenya yuko vizuri hukosoa statement nyingi za viongozi zikiwa na kiingerezza kibovu
Hapa alisahihisha statement ya Raisi wa Ghana
View attachment 1768510
Ana kuimpress wewe tu. Editing haina maana kuwa sentensi ya awali ina makosa bali inawezekana anae edit anaona imetumia maneno mengi bila sababu. Kila mtu ana style yake ya uandishi ndio raha ya lugha.Huyu mkenya yuko vizuri hukosoa statement nyingi za viongozi zikiwa na kiingerezza kibovu
Hapa alisahihisha statement ya Raisi wa Ghana
View attachment 1768510
Mkuu haujui huyo ni Juha Mwandamizi?Unapomnyooshea mwenzako kidole vingine unajinyoonyeshea mwenyewe. Nani aliikufundisha kuanza sentensi kwa herufi ndogo?
Amandla...
I really appreciate your encouragement you have given to me.Vaa nduguyangu twende mbele, English is one of the simplest languages usimsikilize huyu Gentamycine.
Wewe ni moja kati ya wajinga wengi...Unatakasa dhambi na majiLugha ni chombo cha mawasi;iano tu kitu muhimu ni kueleweka unamanisha nini angeweza hata sema many reform are in my all offices
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.
Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.
Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.
Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....
1. A lot of reforms is going on now in our Ministry
2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry
3. A lot of reforms are going on now in our Ministry
4. There are lots of reforms going on now in the Ministry
Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.
Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.
Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.
Huyu mkenya yuko vizuri hukosoa statement nyingi za viongozi zikiwa na kiingerezza kibovu
Hapa alisahihisha statement ya Raisi wa Ghana
View attachment 1768510
Kwani aliokuwa anaongea nao wanasemaje.Kiingereza kingekuwa rahisi huyo Katibu Mkuu wenu ( zamani Msemaji wa Serikali ) na Msomi wa Hadhi ya PhD ( tena ya Mawasiliano na Habari ) kingemshinda hivyo mpaka 'Kukikosea' na sasa tunamjadili hapa kwa Kujiaibisha na Kujichoresha vile?
Mkuu usibishane na raia dizain hizo unapoteza muda, hao ni wale wanasapoti kauli.... Rudi na mavi yako nyumbanMkuu, hata Kama niliishia vidudu, ya 1 Ina ukakasi mno
Mkuu, hata Kama niliishia vidudu, ya 1 Ina ukakasi mno
Mkui reforms zinaendelea hajakwisha nadhani namba 4 ndio sahihi.Nadhani 2 & 4 ni sahihi
Wajuzi watatusaidia
hakutakiwa tu kuweka 'is'.
The verb" is "does not agree with the subject. Consider changing the verb form. More effort dakitari.A lot of reforms is going on now in our Ministry
Huyo mzee ni mjinga snJamaa bado lina vijitabia vya awamu ya 5. Wenzake wanabadirika lenyewe limeendelea kushikilia bango tu! Likitumbuliwa ndo akili itakaa sawa.