Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Dkt. Abbas na Watendaji wengine mlioko Serikalini kama hatuna uhakika na Viingereza vyetu vya 'Ukubwani' na 'Uchochoroni' tutumie tu Kiswahili chetu

Hata kuandika tu hujui AKIKI kubwa ndio nini? hata hueleweki haya edit ulichoandika.Kuandika tu kiswahili kunakushinda .Umejifunzia kiswahili ukubwani? rekebisha hiyo AKIKI yako
Unapomnyooshea mwenzako kidole vingine unajinyoonyeshea mwenyewe. Nani aliikufundisha kuanza sentensi kwa herufi ndogo?

Amandla...
 
Vaa nduguyangu twende mbele, English is one of the simplest languages usimsikilize huyu Gentamycine.
Kiingereza kingekuwa rahisi huyo Katibu Mkuu wenu ( zamani Msemaji wa Serikali ) na Msomi wa Hadhi ya PhD ( tena ya Mawasiliano na Habari ) kingemshinda hivyo mpaka 'Kukikosea' na sasa tunamjadili hapa kwa Kujiaibisha na Kujichoresha vile?
 
Huyu mkenya yuko vizuri hukosoa statement nyingi za viongozi zikiwa na kiingerezza kibovu

Hapa alisahihisha statement ya Raisi wa Ghana

View attachment 1768510
Ana kuimpress wewe tu. Editing haina maana kuwa sentensi ya awali ina makosa bali inawezekana anae edit anaona imetumia maneno mengi bila sababu. Kila mtu ana style yake ya uandishi ndio raha ya lugha.

Amandla...
 
Vaa nduguyangu twende mbele, English is one of the simplest languages usimsikilize huyu Gentamycine.
I really appreciate your encouragement you have given to me.

I believe my efforts to improve my language competence and performance won't be in vain.
 
Jana jioni wakati nikisikiliza Kipindi cha BBC Dira ya Dunia ( kama kawaida yangu ) nilishtushwa kidogo nilipoisikia 'insert' ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari 'Mwanazuoni' Dkt. Hassan Abbas na 'Kiingereza' alichokitumia.

Wakati akizungumza kuhusiana na Masuala ya Habari, Wadau wa Habari huku akikaribisha Maoni ya Mabadiliko ya Kisera katika Wizara yake hiyo ndipo 'akachomekea' na Kiingereza chake hicho ili kuwadhihirishia Watu kuwa amesoma na hiyo 'Doctorate' yake hakuipata Kimakosa na hata huko Ulaya hadi Marekani ameishi vile vile.

Kiingereza chenyewe alichokisema ni hiki nakinukuu hapa..." A lot of reforms is going on now in our Ministry " mwisho wa Kumnukuu Msomi wa PhD Hassan Abbas.

Hivyo basi leo nawaomba wana JF wote ( ambao nawakubali sana kwa Kujua Kiingereza vyema ) japo nikiri tu kuwa GENTAMYCINE sikijui kabisa mnisaidie ni Sentensi ipi bora ( hasa Grammatically ) kati ya hizi zifuatazo.....

1. A lot of reforms is going on now in our Ministry

2 There has been a lot of reforms going on in our Ministry

3. A lot of reforms are going on now in our Ministry

4. There are lots of reforms going on now in the Ministry

Najua Wasomi Nguli ( Intellectuals ) hapa JamiiForums hamtaniangusha GENTAMYCINE katika Kunichagulia Kiingereza sahihi kabisa ( Grammatically ) kati ya Sentensi Nne hapo ( hapa ) juu.

Hakuna Lugha niipendayo duniani ( Ulimwenguni ) kama Kiswahili na hakuna Lugha ambayo huwa naipenda Kuisikia kwa Mtu akiiongea vizuri ( japo hata siijui ) kama ya Kiingereza na hakuna pia Lugha ambayo siipendi Mtu aikosee Kuizungumza kwa 'Kuishobokea' hata kama ( siijui ) kama ya Kiingereza.

Karibuni nyote mnifundishe Kiingereza.

mkuu, umeamua kupoteza muda kiasi hiki??

jamii ya kitanzania 90% hawajui kiingereza, hata wanaodhani wanajuan hawajui

so why waste time kujadili kapatia au kakosea

Imagine kakosea sasa, SO WHAT?

Kuwa kama kakosea grammar unaondolewa ukatibu mkuu?

umesoma wapi?? TZ unafundishwa kwa kiingereza mna discuss kwa kiswahili,🤣🤣

Abbas anakuwa katika 90% ya wasiokifahamu, wala wana WASILIANA kwa hiyo lugha

Last time i checked, hata calfornia chelsea, sydney na Toronto wanakosea grammar kwenye kivuli cha 'common mistakes'

If this is your come back, tafuta Topic za maana au tulia kwanza
 
Kiingereza kingekuwa rahisi huyo Katibu Mkuu wenu ( zamani Msemaji wa Serikali ) na Msomi wa Hadhi ya PhD ( tena ya Mawasiliano na Habari ) kingemshinda hivyo mpaka 'Kukikosea' na sasa tunamjadili hapa kwa Kujiaibisha na Kujichoresha vile?
Kwani aliokuwa anaongea nao wanasemaje.
 
Cha msingi ni kuelewa msemaji anamaanisha nini

Wahindi kiswahili hawakijui vizuri lakini tunaelewana nao bila shida wakiongea

Cha msingi kueleweka tu unamaanisha nini mfano unaomba maji unaweza sema water bring

Hakuna haja ya kukesha ukikariri kunyoosha sentensi
 
Back
Top Bottom