Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Shida ya kupeana madaraka ndo hii, enzi za JPM hakuwai kutokea huu ujinga na walikuwa wanasema anaua biashara ila biashara ziliendelea fanyika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizara ya Biashara angepewa January yule mama imemshinda kabisa!
Kama mboga yenyewe ndo inanajisi kabla haijatiwa na mtu je..!!??Unataka utie najisi kwenye mboga ya mtu wewe
Unamaanisha alikuwa anasema 'Karikaoo hakuna pilikapilika hivyo pametulia'Kwanza mlimnukuu vibaya
Nilidhani hata kama hana taarifa angeomba walau dak 5 arejee na taarifa kutoka kwa wasaidizi instead amejibu holes shit kama anazungumzia habari ya Ng'ombe wake! Hafai....Huyu Naibu Waziri hana Ofisi ambayo inaweza kumpa taarifa sahihi ?
Huyu Naibu Waziri hana hata mitandao ya Kijamii ?
Huyu Naibu Waziri yuko Tanzania au anaishi nje ya nchi ?
Huyu Naibu Waziri anajua anachokiongoza ?
Yaani yule Waziri hayupo SERIOUS kabisa..lile jibu linaonyesha hana uwezo wa kuongoza ile Wizara..Yaani Wabunge wana information zaidi kuliko wewe?..kweli? ..kwa issue serious kama ya Kariakoo,kitovu cha UCHUMI wa nchi..HAFAI!Nilidhani hata kama hana taarifa angeomba walau dak 5 arejee na taarifa kutoka kwa wasaidizi instead amejibu holes shit kama anazungumzia habari ya Ng'ombe wake! Hafai....