Dkt. Bashiru: Baada ya mzee Kikwete kuingia kura zetu (CCM) zilianza kuporomoka

Bashiru kaonyesha tabia za kihaya 100%.jk Na membe wakijibu utasikia wanaanza kuwaandama...
 
Nimepata wasiwasi huenda elimu yetu inapoingia chamani hugeuka na kuwa ujinga. Au niko ndotoni?
 
Hawa mashetani ni kuwagomea tu kwa kila kitu ambacho hakina ulazima ama chenye mbadala. Mimi mwenyewe kitambo tu sasa sinunui bidhaa kwa duka la mshabiki wa kijani wala sitoi ushirikiano kwa nzi yoyote wa kijani. Ukweli ni kwamba hawa nzi wa kijani ndio walio duni na dhaifu katika jamii na kama tutakuwa tuko serious na hili basi wao ndio waathirika wakubwa!
 
Siku nilipoona Mbowe kashinda kwa 93.5% dhidi ya mpinzani wake Cecil ndio nilijua maana halisi ya kucheza na sanduku la kura ambayo sikupata kuijua kabla

Hapo unaona umesawazisha? Mwambe angepewa kura na nani? Alikuja na upepo wa Lowassa, na Lowassa kasharudi ccm yeye alitegemea nini?
 
We Bashiri vip bhna, kura zenu kwani CUF ndio ilikuwa madarakani wakati wa Mzee Kikwete?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…