Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: CCM mwaka huu itavunja rekodi kwa kupata ushindi mkubwa wa kihistoria kwa sababu tunashindana na vyama dhaifu sana!

Ohooo kaone et nako kanajiona kanaiweza sheria kuliko Lissu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Wewe Nchi hiii tatu bora ya wanasheria wanaotembea na sheria kichwan... Utakuamo????


Sasa Lissu yumo ndani.
 
Bashiru na Polepole wangempata Mgombea wa Upinzani legelege wangejisifu sana ila sio kwa Tundu Lissu Lissu ni level nyingine

Lissu anapiga kampeni za Kijiji kwa Kijiji haijawahi kutokea
Wametafuna pesa za kampeni kuna ufisadi pesa za kampeni huko ccm sasa wanatapatapa wameishiwa pumzi wanaongea ujinga ujinga
 
Tutatumia dola kubaki Madarakani alisikika Muuza ndizi kutoka Karagwe huko!
 
Ohooo kaone et nako kanajiona kanaiweza sheria kuliko Lissu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Wewe Nchi hiii tatu bora ya wanasheria wanaotembea na sheria kichwan... Utakuamo????


Sasa Lissu yumo ndani.

Haya ni mambo ya wakati tu.

Sio kosa lako la kudhania huyu jamaa anajua sheria. Layman wengi wanajua hivyo😂
 
Saizi show wataisoma wambie waturie tarehe 28/10 kazi IPO saizi hatukubali umaku
 
Kuna wajinga huko ccm bado wanatumia mifano ya umati wa Lowasa 2015 kwa kusema lowasa alijaza watu zaidi, lakini hawatambui kuwa sasa ni 2020 watu wametaabika watu wameteseka wamenyanyaswa wameumizwa wamekaangwa wana hasira ni tofauti na kipindi kile cha kikwete, kupitia mateso ya magufuli ndipo kura za kuikataa ccm rasmi zitapatikana, wenye upeo weledi wote hawapo ccm tena wapo kwenye mageuzi kupigania HAKI
 
Haya ni mambo ya wakati tu.

Sio kosa lako la kudhania huyu jamaa anajua sheria. Layman wengi wanajua hivyo😂
Layman wanajua CCM ni Mungu inasitahili kutawala milele na wanajua Magufuli anajua kila kitu kuliko mungu
 
nimejikuta namkumbuka yule waziri wa propaganda wa sadam Hussein bwana chemical Ali
 
Layman wanajua ccm ni mungu inasitahili kutawala milele na wanajua magufuli anajua kila kitu kuliko mungu
Kikubwa tunatafuta kiongozi atakae tufikisha katika nchi ya ahadi.

Ubaya mpaka sasa hajatokea kiongozi mwenye maono kuliko mgombea wa CCM.

Ila ikitokea tukapata mgombea wa upinzani atakuwa bora kuliko wa CCM basi lazima tumchague kwa kishindo.

Kubwa hatutaki Kumtoa BATA na kureplace KUNGURU.
 
Nani kamwambia CCM hamna makundi!! CCM isingekua na makundi wasingelazimisha magufuli apigiwe kura kwa uwazi ili kuona ambae hajampa kura, pia bashiru asifikiri huu ni uchaguzi wa ndani wa CCM
 
Sisi tunayoyaona huku mitaani hayahakisi hayo maoni yake. Labda ana wapiga kura wengine nje ya wananchi tunaoishi nao na wamaoudhuria mikutano ya wagombea!
 
Nakutuma mleta habari muulize Bashiru ushindi wa kihistoria wataupata kwa vigezo gani
Kwa sababu maneno kama hayo hata katibu mkuu wa CHAUMA anaweza kuyaongea tu
 
Kuzuia kivuko ili Lisu asipande kwenda uketewe Ni ushindi was maccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…