Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Nyie ndio mizigo iliyoteuliwa na JPM akidhani itamsaidia kumbe gunia la misumari. Wakati mwingine anabebeshwa lawama kumbe zinatokana na mizigo yake.unabadilishaje kipengele cha Katiba bila ridhaa ya wananchi?
Zinazobadilishwa ni zile sheria zionekanazo zimekwenda kinyume na katiba mfano sheria ya uundaji wa Tume hiyo ya uchaguzi.
Ndio shida ya vyeo vya pachupachu hii!
Sent using Jamii Forums mobile app