Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Wewe Acha Hizoo bana,Unaujua Mchakato wa Katiba Ulivyo Mrefu?
Halafu Katiba hii hiiiii,mambo mangapi yapo kwenye Katiba na Yanavunjwa hakuna wa Kukemea,?
Acha kumpotosha Mwenzio,hiyo Katiba iliopo Inafuatwa 100%?
Mangapi watu wamelalamika na Imekuwa Kimya,?
Bora Adai hicho anachokidai tuu,acha kumpotezea muda,kwa vitu ambavyo havitekelezeki bana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu 1992 wanalalamikia tume huru hadi leo 2020 malalamiko ni hayohayo kwanini wasitumie mbinu tofauti ya kupata hiyo tume huru. Huwezi kutumia kanuni ileile kutatulia tatizo lililokushinda.
 
Mkuu Kula Like,like like Tena Ikiwezekana Mtag mtoa mada ili aje akujibu hapa,isijekuwa katumwa ili ampotoshe mbowe na waTZ wapoteze muda
Cc:
kavulata

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama Nyerere na wenzake wangekuwa kama akina Mbowe Africa ingekuwa bado inatawaliwa.

Tukubali tu kuwa vyama vingi havijawa tayari kuingia Ikulu. Wasomi wetu ni waoga kiasi cha kuicha kazi ya siasa mikoni mwa wajasiliamali, wasomi wetu wakiwemo wenye PhD wanashindwa kujiajiri sembuse siasa.
 
Halafu boss kila post unapiga kelele kwamba wapinzani wanataka uhuru wa kutukana na kukejeli, kile kinachoitesa roho yako ndio hicho unachokifanya dhidi ya wapinzani! Sasa ukitaka uoge matusi, rudia tena haya matusi ya kishenzi ndio utaipata fresh.
Mkuu msamhehe tu,Hawa Quoma ndio wanafanya jf ionekane kama sehemu ya porojo. Njaa znawasumbua sana mbwa hawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe ni form 6 failure anayejua tu kuuza maneno, hana tofauti na Steve Nyerere kichwani. Katiba ya nchi haibadilishwi kwa dharura wala kwa matakwa ya kikundi cha manyumbu au beberu.
Heri hata form 4 failure kuliko hawao "On cello" wenye kiingereza mpaka wachina hawajui sasa waingie kwenye gari au nyumba!!!
 
M
Mkuu kama Nyerere na wenzake wangekuwa kama akina Mbowe Africa ingekuwa bado inatawaliwa.

Tukubali tu kuwa vyama vingi havijawa tayari kuingia Ikulu. Wasomi wetu ni waoga kiasi cha kuicha kazi ya siasa mikoni mwa wajasiliamali, wasomi wetu wakiwemo wenye PhD wanashindwa kujiajiri sembuse siasa.
Mkuu Tatizo Sio Vyama vya Upinzani Kuingia ikulu,angalia Haswa Ubunge Mkuu,anashinda huyu anaweza tangwa Mwingine,umesema Upinzani haujawa Tayari,ni lini Watkuwa Tayari?
Unaja watu wanataa kuona upande wa pili pia Free and fair,
Tuseme tuu ukweli alienacho anatetea kwa Hali na Mali kwa Mbinu zote hata Chafu aendelee kuongoza Dola,Hapo ndipo lilipo Tatizo!
Jibu Swali tume liopo ni Huru?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu 1992 wanalalamikia tume huru hadi leo 2020 malalamiko ni hayohayo kwanini wasitumie mbinu tofauti ya kupata hiyo tume huru. Huwezi kutumia kanuni ileile kutatulia tatizo lililokushinda.
Wasaidie basi kutafuta hiyo mbinu. Being hero behind the keyboard can't help.
 
Tatizo hujui nini maana ya elimu, kumfananisha Mbowe na Stive Nyerere ni uchoko wa akili yako. Elimu unaipata baada ya kukaa darasani au any where kwa kipindi fulani kilichopangwa. Lakini hekima, uongozi na busara zote zinatoka kwa Mungu.
Wewe unaongea kwa ajili ya chuki zako na Mbowe, huenda unamuhofia Sana ndio maana wewe mwenye elimu maisha yako ni kama mbingu na ardhi na maisha ya Mbowe. Tafakari tena kabla hajaongea kuhusu Mh Mbowe.
Ebu niwekee wenye PHD ambao kwako wewe ndio unaowaamini ili tuwalinganishe na Mbowe, nini wamefanya, wamegundua nini, na wameisaidia nini nchi yetu.
Ndipo utakofuta huu uchoko wako wa akili.
Mbowe ni form 6 failure anayejua tu kuuza maneno, hana tofauti na Steve Nyerere kichwani. Katiba ya nchi haibadilishwi kwa dharura wala kwa matakwa ya kikundi cha manyumbu au beberu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo mmekaririshwa tu. Unajua hii katiba tulionayo, imefanyiwa amendment zaidi ya mara 4? Je hizo amendment zote ilipigiwa kura ya maoni?
Acheni upoyoyo katiba inabadilishwa kwa njia nyingi, acheni kumsikiliza Polepole amekuwa chizi baada ya kushiba. Kipindi anatembea kwa mguu ndio alikuwa na akili.
Katiba inadalishwa kutoka na mahitaji ya wakati, yawe ya kipindi kifupi, cha Kati na cha muda mrefu.
Hitaji letu sasa ni Tume huru ya uchaguzi, inatakiwa upelekwe mswaada bungeni kwa ajli ya kuunda tume huru.
Sasa iatundwaje, utaratibu wake, wajumbe wake na kazi zake hizo zitajadiliwa bungeni na kupitishwa kuwa sheria.
Hapo ndio utakapoingizwa kwenye katiba.
Sasa meambukizwa ujinga, na kujifanya mmesoma kumbe mafi ya umbwa kabisa.
Nani alikwambia katiba inabadilishwa kwa vifungu vya dharura?,kajipange upya

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikubaliani na hoja! Siungi mkono!
Wanasiasa wadai tume huru...
Hivi hatujifunzi tu...!
Tulifanya makosa makubwa kuwaamini wanasiasa kuwa mstari wa mbele kudai Katiba... Uliona matokeo yake... Waliingiza ya kwao...!! Na mchakato ukafeli!

Ni haki ya wananchi na raia wote kudai Katiba Mpya!
Kama wananchi wanaona bado bora tuache tu....
Nyakati hizi tukianzisha huo mchakato tunaweza kuishia kumpata mfalme atawalaye milele...
We are not ready for that!!

Tuunge mkono Mbowe kudai Tume Huru...!!
 
Hapana mkuu hawajapata tu kiongozi shupavu mwenye sera mbadala wa kuunganisha fikra na nguvu zao. Viongozi wako kifamilia na kikanda zaidi kuliko kitaifa. Uongozi uko ki ajira zaidi kuliko kitumishi na kihuduma. Viongozi wa vyama ni wakwepa kodi pia, hivyo wanakosa ujasiri wa kupoint finga kwa mtawala
Hiyo hali ya kukosa umoja wa kitaifa inafanya liccm lizidi kukanyaga katiba
 
MMkuu Tatizo Sio Vyama vya Upinzani Kuingia ikulu,angalia Haswa Ubunge Mkuu,anashinda huyu anaweza tangwa Mwingine,umesema Upinzani haujawa Tayari,ni lini Watkuwa Tayari?
Unaja watu wanataa kuona upande wa pili pia Free and fair,
Tuseme tuu ukweli alienacho anatetea kwa Hali na Mali kwa Mbinu zote hata Chafu aendelee kuongoza Dola,Hapo ndipo lilipo Tatizo!
Jibu Swali tume liopo ni Huru?

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOTE
Kwa mijibu wa katiba yetu tume ni huru kabisa. Kama unaona sio huru italazimu kifungu cha katiba kinachoelezea namna tume inateuliwa kibadilishwe kwanza. Vinginevyo kufanya kinyume ni kuvunja katiba yetu
 
Tatizo hujui nini maana ya elimu, kumfananisha Mbowe na Stive Nyerere ni uchoko wa akili yako. Elimu unaipata baada ya kukaa darasani au any where kwa kipindi fulani kilichopangwa. Lakini hekima, uongozi na busara zote zinatoka kwa Mungu.
Wewe unaongea kwa ajili ya chuki zako na Mbowe, huenda unamuhofia Sana ndio maana wewe mwenye elimu maisha yako ni kama mbingu na ardhi na maisha ya Mbowe. Tafakari tena kabla hajaongea kuhusu Mh Mbowe.
Ebu niwekee wenye PHD ambao kwako wewe ndio unaowaamini ili tuwalinganishe na Mbowe, nini wamefanya, wamegundua nini, na wameisaidia nini nchi yetu.
Ndipo utakofuta huu uchoko wako wa akili.Hakuna mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mtu anayepaswa kumbeza Mh. MBOWE, ninachosema mm ni uwezo wake umeishia hapo pa kuendelea kudai kitu ambacho kama kitatekelezwa basi aliyekitekeleza atakuwa amevunja katiba. Ndio maana hata Waziri Mkuu alimwambia Mh. Mbowe kuwa tume ya uchaguzi ipo vile kwa mijibu wa katiba yetu. Sasa Mbowe anapaswa kufahamu kuwa ni katiba yenye matatizo sio tume ya uchaguzi
 
Tatizo mmekaririshwa tu. Unajua hii katiba tulionayo, imefanyiwa amendment zaidi ya mara 4? Je hizo amendment zote ilipigiwa kura ya maoni?
Acheni upoyoyo katiba inabadilishwa kwa njia nyingi, acheni kumsikiliza Polepole amekuwa chizi baada ya kushiba. Kipindi anatembea kwa mguu ndio alikuwa na akili.
Katiba inadalishwa kutoka na mahitaji ya wakati, yawe ya kipindi kifupi, cha Kati na cha muda mrefu.
Hitaji letu sasa ni Tume huru ya uchaguzi, inatakiwa upelekwe mswaada bungeni kwa ajli ya kuunda tume huru.
Sasa iatundwaje, utaratibu wake, wajumbe wake na kazi zake hizo zitajadiliwa bungeni na kupitishwa kuwa sheria.
Hapo ndio utakapoingizwa kwenye katiba.
Sasa meambukizwa ujinga, na kujifanya mmesoma kumbe mafi ya umbwa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndugu yetu mbona hakupeleka mswada bungeni kudai tume huru badala yake anamuomba Waziri Mkuu ampe tume huru.
 
Back
Top Bottom