Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Mbowe kaamua kudai tume huru ya uchaguzi, ww dai katiba mpya. Wapinzani walipokaa kimya ww mbona hukudai katiba mpya?
Ajivue uwenyekiti basi kama hawezi kuwaunganisha wafuasi wake kudai mabadiliko ya kifungu cha katiba kinachohusika na uundwaji wa tume huru. Sio rahisi mtu mmoja kudai katiba nje ya chama kilichosajiliwa kisheria
 
Wapinzani wa nchi hii wanachekesha sana JK aliwapa chansi ya kutengeneza katiba mpya wakaichezea na wakasua wakatoka nje

Na cha kushangaza kilichowafanya wasusie bunge sio kipengele cha katiba mpya ila ni kipengele cha muundo wa serikali 3

Sent using Jamii Forums mobile app
Walidanganywa na CUF wakajisahau.
 
Kwa hiyo Katiba mpya Ni ya Mbowe wewe mleta Uzi haikuhusu?
Akikubali kuniachia uwenyekiti wa CHADEMA utauona moto wangu mkuu. Ukiitaka pepo sharti upate misukosuko. Viongozi wetu wana mali nyingi mno zinazohitaji huruma na ulinzi wa serikali.
 
Viongozi wa upinzani wanatuzuga sisi kudai tume huru ya uchaguzi leo hii. Watulie watafute ruzuku yao mpya wale lakini sio kwenda Ikulu. Tume huru wanadai hakuna lakini wabunge wa upinzani wako bize majukwaani wanapiga mziki na nyimbo za mapenzi, dakika za mwisho wanakurupuka eti hakuna tume huru, shubamiiit
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
Uko sahihi kabisa! Hawa wanaojiita wapinzani ni tatizo. Pia linaanzia kwenye mikogo isiyo na maana. Sasa hivi CHADEMA haioni kama kuna vyama vingine vya upinzani. Wanaomba maridhiano wao tu badala ya kuwashirikisha wapinzani wote. wanafahamu kabisa kwamba siasa za TZ ni pamoja na Zanzibar, huko hawana kiti hata kimoja. Kifuatacho, kambi kuu upinzani itahamia chama kingine wao pia wanasahaulika.

Sasa wanadai tume. kuna mtu hapa aliwaomba waunde tume ya CHADEMA tu halafu waone shida ya katiba. Wamesahau DCs na RCs wote ni makada wa CCM. Hawakumbuki kuwa DCs na RCs ni weneyeviti wa ulinzi usalama wilayani na mikoani na polisi wako chini yao. Utashinda kwa tume wakati unategemea ulinzi wa mtu mwingine?
Wamekalia umbea ulaya na US badala ya kueleza mambo ya msingi.
 
Uko sahihi kabisa! Hawa wanaojiita wapinzani ni tatizo. Pia linaanzia kwenye mikogo isiyo na maana. Sasa hivi CHADEMA haioni kama kuna vyama vingine vya upinzani. Wanaomba maridhiano wao tu badala ya kuwashirikisha wapinzani wote. wanafahamu kabisa kwamba siasa za TZ ni pamoja na Zanzibar, huko hawana kiti hata kimoja. Kifuatacho, kambi kuu upinzani itahamia chama kingine wao pia wanasahaulika.

Sasa wanadai tume. kuna mtu hapa aliwaomba waunde tume ya CHADEMA tu halafu waone shida ya katiba. Wamesahau DCs na RCs wote ni makada wa CCM. Hawakumbuki kuwa DCs na RCs ni weneyeviti wa ulinzi usalama wilayani na mikoani na polisi wako chini yao. Utashinda kwa tume wakati unategemea ulinzi wa mtu mwingine?
Wamekalia umbea ulaya na US badala ya kueleza mambo ya msingi.
Muungano wa vyama vya upinzani unaundwa wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi ili kuwarahisishia kuingia bungeni kwa maslahi yao na familia zao lakini sio kwa wanachama wao na taifa. Tulitarajia vyama vyote viungane mapema kudai katiba mpya inayozaa tume huru ya uchaguzi. Tumewagundua na tunawamulika janjajanja yao
 
Kenya walipofarakana 2007/08, mazingira ya wakati huo yalipelekea katiba kuwekwa kando na kutafutwa ufumbuzi wa kisiasa (Political Solution).

Kuna wakati mazingira yanaweza yakalazimu itafutwe namna nyingine kwa maslahi ya nchi pale inapoonekana ufumbuzi wa haraka hauwezi kuletwa na katiba iliyopo ambayo pia utakuta mapungufu yake ndio chanzo cha tatizo.

Hapo ndipo inapoonekana jinsi ilivyo vigumu kwa mchawi wako kukuponya.

Anyway, kuna uwezekano mdogo sana kwa hii serikali kuridhia marekebisho ya katiba ili mazingira ya uchaguzi yawe mazuri kwa wadau wote ila likitokea hilo la kukomaa, uwezekano wa hii nchi kutengwa na wadau wa maendeleo ni mkubwa mno hali itakayomuweka Bw. Magufuli ktk wakati mgumu sana tu kwenye awamu yake ya mwisho na miradi yake yoote anayotambia itabaki mahame tu na sielewi itatangazwa kuwa "Heritage Sites". Time will tell.
 
Muungano wa vyama vya upinzani unaundwa wakati wa kuelekea kwenye uchaguzi ili kuwarahisishia kuingia bungeni kwa maslahi yao na familia zao lakini sio kwa wanachama wao na taifa. Tulitarajia vyama vyote viungane mapema kudai katiba mpya inayozaa tume huru ya uchaguzi. Tumewagundua na tunawamulika janjajanja yao
Wewe una wazimu au ndio jana umekuja ktk nchi hii?? Tadea, Tlp, Udp, Cuf ndio waungane navyo au unamaanisha vyama gani.
Come of age please.
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
Acheni ungese
yaani nyie watz mmeridhika na hali zenu halafu mnategemea Mbowe aje awasemee nyambavuuuuu
 
Kenya walipofarakana 2007/08, mazingira ya wakati huo yalipelekea katiba kuwekwa kando na kutafutwa ufumbuzi wa kisiasa (Political Solution).

Kuna wakati mazingira yanaweza yakalazimu itafutwe namna nyingine kwa maslahi ya nchi pale inapoonekana ufumbuzi wa haraka hauwezi kuletwa na katiba iliyopo ambayo pia utakuta mapungufu yake ndio chanzo cha tatizo.

Hapo ndipo inapoonekana jinsi ilivyo vigumu kwa mchawi wako kukuponya.

Anyway, kuna uwezekano mdogo sana kwa hii serikali kuridhia marekebisho ya katiba ili mazingira ya uchaguzi yawe mazuri kwa wadau wote ila likitokea hilo la kukomaa, uwezekano wa hii nchi kutengwa na wadau wa maendeleo ni mkubwa mno hali itakayomuweka Bw. Magufuli ktk wakati mgumu sana tu kwenye awamu yake ya mwisho na miradi yake yoote anayotambia itabaki mahame tu na sielewi itatangazwa kuwa "Heritage Sites". Time will tell.
Hii miradi ni yetu wote sio ya Magufuli rekebisha hapo. Shida kubwa viongozi wetu wa upinzani wako pale kama ajira yao na sio kuwasaidia watanzania wenye maoni mbadala. Hivyo wengi wao wanaogopa mali zao kupotea
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
Hivi kukiwa na Katiba mpya na Tume Huru ya Uchaguzi ndio Chadema itajenga Ofisi Kuu za Chama? Naomba kuongeza sauti kama hamjasikia hapo Ufipa!
 
Acheni ungese
yaani nyie watz mmeridhika na hali zenu halafu mnategemea Mbowe aje awasemee nyambavuuuuu
Usisahau kuwa CHADEMA ni chama cha siasa cha upinzani sawa na Democratic, Labour , ODM, etc. Kazi kubwa ya chama cha upinzani ni kuwashawishi na kuwaunganisha wooote wenye maoni tofauti dhidi ya kinachofanywa sasa na anayetawala kwa njia za kidemokrasia na kisheria
 
Wewe una wazimu au ndio jana umekuja ktk nchi hii?? Tadea, Tlp, Udp, Cuf ndio waungane navyo au unamaanisha vyama gani. Kazi ya chama kinachounda kambi ya upinzani bungeni ninini? Kazi ya mwenyekiti wa chama cha upinzani ni nini? Kazi ya chama cha upinzani ni nini? Hata Nyerere, Kenyatta, Mandela, nk pia walikuwa viongozi wa vyama vya upinzani, kwani walifanyaje kazi zao?
Come of age please.
Wewe una mkono wa suweta nn?
 
Usisahau kuwa CHADEMA ni chama cha siasa cha upinzani sawa na Democratic, Labour , ODM, etc. Kazi kubwa ya chama cha upinzani ni kuwashawishi na kuwaunganisha wooote wenye maoni tofauti dhidi ya kinachofanywa sasa na anayetawala kwa njia za kidemokrasia na kisheria
Sijasahau mkuu

Ila watz wapo dormant sana katika kupigana haki zao za kiraia
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
Wewe Acha Hizoo bana,Unaujua Mchakato wa Katiba Ulivyo Mrefu?
Halafu Katiba hii hiiiii,mambo mangapi yapo kwenye Katiba na Yanavunjwa hakuna wa Kukemea,?
Acha kumpotosha Mwenzio,hiyo Katiba iliopo Inafuatwa 100%?
Mangapi watu wamelalamika na Imekuwa Kimya,?
Bora Adai hicho anachokidai tuu,acha kumpotezea muda,kwa vitu ambavyo havitekelezeki bana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijasahau mkuu

Ila watz wapo dormant sana katika kupigana haki zao za kiraia
Hapana mkuu hawajapata tu kiongozi shupavu mwenye sera mbadala wa kuunganisha fikra na nguvu zao. Viongozi wako kifamilia na kikanda zaidi kuliko kitaifa. Uongozi uko ki ajira zaidi kuliko kitumishi na kihuduma. Viongozi wa vyama ni wakwepa kodi pia, hivyo wanakosa ujasiri wa kupoint finga kwa mtawala
 
Back
Top Bottom