Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Siwezi kumfaidisha mwanasiasa. Wala hanigawii mshahara wake. Hata bunge lingefutwa tu halina faida.

Mimi nataka turekebishe mifumo ya kodi na kupunguza urasimu wa biashara nchini.
Hizo sheria za kodi nani anazirekebisha na kuondoa urasimu!!?
Jitahidi kujifunza, ili ufahamu wako ukae sawa! Tofauti na hapo, unataka kuchuma machungwa kwenye mwembe, sina uhakika kama utafanikiwa!
 
Tukiwa na tume huru tunaweza kupata Rais wa ajabu kama Mrema ama lowassa ama Slaa. Tuendeleage hivi hivi watizii wawe na akili ya nani anafaa kuwa rais nanani hawezi ataiingiza nchi kwenye baa la umaskini,wizi utashamiri
 
Hawata sikia hawa Ndiyo tabia zao
tapatalk_1578598866010.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za CCM hizi! Hakuna mwana CCM anayeitaka tume huru!Maana mnajua hampedwi na hamuzi kushinda uchaguzi chini ya tume huru
Tumeipenda wenyewe...chaguo letu milele...acha waisome namba...ccm mbele kwa mbele
 
Nyie vyama vya upinzani unganeni muwe na msimamo, mjenge hoja ya kushawishi watu tususie uchaguzi kama hakutakuwepo na tume huru.

Tamaa na ubinafsi wekeni pembeni..kwa pamoja tuirudishe demokrasia.


Mkuu sidhani kama katika jambo hili mpo au wapo na vision moja kwani huwezi sema tume sio huru halafu unaingia kwenye kinyang'anyiro hicho eti ukiamini kuwa utashinda wakati ukweli ni kuwa 99% utashindwa how crazy are ur? wanachosema na wanachokifanya ni vitu viwili haviendani kabisa bali wanajionyesha ni jinsi gani walivyo matapeli wa kisiasa na tusubirie kuona kilio cha mbwa mwaka huu kama hawatabaki na jina tu
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
 
kuna hati nyingi zinazopelekwa bungeni kwa marekebisho, na kuna mijadala mingi hua inaendeshwa kwa dharura, lakini hati ya marekebisho ya katiba kuhusu tume huru ndio imekua mwiba kwa sisiem, sijui wanaogopa nini? wakati wao ndio wengi bungeni, ni wepesi sana na wanajua wakifanya marekebisho na ikapatikana tume huru wengi watarudi makwao kwenda kuchunga ng'ombe!
 
Mbowe ni form 6 failure anayejua tu kuuza maneno, hana tofauti na Steve Nyerere kichwani. Katiba ya nchi haibadilishwi kwa dharura wala kwa matakwa ya kikundi cha manyumbu au beberu.

Halafu boss kila post unapiga kelele kwamba wapinzani wanataka uhuru wa kutukana na kukejeli, kile kinachoitesa roho yako ndio hicho unachokifanya dhidi ya wapinzani! Sasa ukitaka uoge matusi, rudia tena haya matusi ya kishenzi ndio utaipata fresh.
 
Mbowe ni form 6 failure anayejua tu kuuza maneno, hana tofauti na Steve Nyerere kichwani. Katiba ya nchi haibadilishwi kwa dharura wala kwa matakwa ya kikundi cha manyumbu au beberu.
Dr. Shika ana degree 4 na analala kwenye vituo vya mabasi. Wewe una kiwango gani cha elimu na elimu yako imekusaidia nini na imesaidia nini Taifa hili. Wewe ni kahaba tu umekaririshwa maneno ya kisenge hapa na akina Chakubanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapinzani wa nchi hii wanachekesha sana JK aliwapa chansi ya kutengeneza katiba mpya wakaichezea na wakasua wakatoka nje

Na cha kushangaza kilichowafanya wasusie bunge sio kipengele cha katiba mpya ila ni kipengele cha muundo wa serikali 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom