mbona nyie mmeungana na TLP, DP, NRA, UDP, Tadea watu hawaoni nongwa?Waungane akina nani bwashee?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona nyie mmeungana na TLP, DP, NRA, UDP, Tadea watu hawaoni nongwa?Waungane akina nani bwashee?!
Hata wakati wa utawala wa kitumwa ilifika mahali babu zetu wakadai uhuru. Hata sasa baada ya kuona uchaguzi wa viini macho imefika wakati wa kudai tume huru ya uchguzi.. Wewe endelea kubaki utumwaniSasa Wapinzani wameibuka na hoja ya kudai marekebisho ya Katiba na sheria ili pawepo na Tume huru ya uchaguzi badala ya NEC.
Madai haya yangekuwa na mantinki kama Tume hiyo inalenga uchaguzi wa mwaka 2025 laki kwa uchaguzi wa October, 2020 ni sawa na kukumbuka shuka asubuhi.
Niwashauri tu CHADEMA kwamba mwaka huu waunge mkono juhudi hizo ndoto za Tume huru wazielekeze 2025.
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Muda siyo rafiki bwashee!Hakuna cha Shuka wala Blanketi mkuu kwanza wanaodai ni wao kwani wamekutuma wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Wapinzani wameibuka na hoja ya kudai marekebisho ya Katiba na sheria ili pawepo na Tume huru ya uchaguzi badala ya NEC.
Madai haya yangekuwa na mantinki kama Tume hiyo inalenga uchaguzi wa mwaka 2025 laki kwa uchaguzi wa October, 2020 ni sawa na kukumbuka shuka asubuhi.
Niwashauri tu CHADEMA kwamba mwaka huu waunge mkono juhudi hizo ndoto za Tume huru wazielekeze 2025.
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Nyie ndio mko utumwani!Hata wakati wa utawala wa kitumwa ilifika mahali babu zetu wakadai uhuru. Hata sasa baada ya kuona uchaguzi wa viini macho imefika wakati wa kudai tume huru ya uchguzi.. Wewe endelea kubaki utumwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee kwa sasa muda siyo rafiki labda uchaguzi usogezwe mbele hadi 2022!Huu ndio muda muafaka wa kudai tume huru ya uchaguzi, ingedaiwa mapema mngesema ni muda wa kujenga nchi na sio muda wa siasa za madaraka. Wapinzani msilogwe mkaacha kuidai tume hiyo sasa. Iwapo hakuna tume huru tutautia shombo huo uchaguzi kitaifa na kimataifa. Kwa maneno marahisi ni kuwa, tume huru ni sasa.
Bwashee kwa sasa muda siyo rafiki labda uchaguzi usogezwe mbele hadi 2022!
Labda kina selasini sumaye na lowasaWaungane akina nani bwashee?!
Tangazo la ITV lilisema wazi kuwa watarusha live mahojiano ya Mnyika kupitia akaunti yao ya facebook siyo luningani bwashee.Acha kuusogeza, hata usiwepo kabisa miaka kumi ijayo, lakini hatupo tayari kushiriki uchaguzi wa kishenzi bila tume huru ya uchaguzi. Kwenye kuidai hiyo tume huru kelele zake ni za kitaifa na kimataifa. Nadhani serikali kwa kujua kuwa Mnyika atalizungumzia hilo, kipindi chake cha leo saa 5 asubuhi kimepigwa stop kufanyika ITV.
Tangazo la ITV lilisema wazi kuwa watarusha live mahojiano ya Mnyika kupitia akaunti yao ya facebook siyo luningani bwashee.
Mbona Ufipa wenzio wote wamefuatilia kupitia ITV facebook na You tube........inawezekana hako kativii kako kanachakachua matangazo.Unatuona hamnazo kwamba hatuwezi kusikia vizuri?
Mbona Ufipa wenzio wote wamefuatilia kupitia ITV facebook na You tube........inawezekana hako kativii kako kanachakachua matangazo.
Watakuja bwashee akina Mzitto Kabwela waliomsikiliza!Waseme alichoongea hao waliomsikia.
Watakuja bwashee akina Mzitto Kabwela waliomsikiliza!
Ngoja nikulink na mchungaji Erasto Kavishe akuhabarishe nadhani yeye amemsikia maana Mnyika ni kijana wake!Yuko hapa, angetoa updates.
Labda familia yake ndio iseme maana ndio wanaofaidika na huo uchaguzi wake hasa ndani ya cdm lakini katika ngazi Taifa sisi tume huru ipi wakati miaka yote uchaguzi huru na wa haki na.pia Rais Magufuli anatosba hakuna haja ya uchaguzi tena wala nnMsikilize Katibu Mkuu wa Chadema Mhe. John John Mnyika