Hivi ilitokea Dr kibarua chake kimeota nyasi atarudi chuoni kufundisha? Labda hivi vitoto vya siku hizi vinakwenda chuo kikuu vinajua zaidi mapenzi kuliko upeo wa akili zao vinaweza kukubali kusikiliza lecture yake otherwise wenye akili timamu akiingia kwenye lecture yake wangetoka.
Dr hanatofauti na yule Dr aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro. Baada ya kutumbuliwa na JPM akaanza kulia lia kuomba msamahi Eti " Mimi ni yatima". Imagine elimu ya Tz level ya PHD hajui tafasiri ya yatima.
Dr hanatofauti na yule Dr aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Morogoro. Baada ya kutumbuliwa na JPM akaanza kulia lia kuomba msamahi Eti " Mimi ni yatima". Imagine elimu ya Tz level ya PHD hajui tafasiri ya yatima.