Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
- Thread starter
- #81
Tumuombe Mungu atunasueKatika vitu napongeza awamu ya tano ni kutuonyesha dhahiri tabia za wanaojiita wasomi! Kumbe wana tamaa, njaa na tamaa ya vyeo kiasi vimemeza usomi na ufikiri wao kabisa!
Taifa hili tusitarajie wasomi kuliokoa, wameshafeli kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app