True awapingi maendeleo bali ukoloniHakika, hata sasa watu wanapinga uonevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True awapingi maendeleo bali ukoloniHakika, hata sasa watu wanapinga uonevu.
Kwani ulikuwa umezaliwa wewe? Jibu hoja!
Sasa kitu gani kinazuia tusiwape hiyo tume huru wanayoidai,maana kama ni wapiga kura wapo upande wetu
Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
View attachment 1310741
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nisaidie ili hiyo tume iwe huru inatakiwa iweje? Au unaimba tu Tume Huru lakini hata huelewi mfumo wa nchi hii mkuu.Sasa kitu gani kinazuia tusiwape hiyo tume huru wanayoidai,maana kama ni wapiga kura wapo upande wetu
Gunia 50 maharage mkuu hongera ulilima hekar ngapiKwa sasa ndiyo nimetoka shambani kuvuna karanga na nahangaika kuanika maharagwe kama gunia zaidi ya 50 hapa kwetu tatizo mvua zinasumbua sana Kakonko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mbona anajisema mwenyewe wao si ndo wanaobebwa na hiyo tumeBinafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
View attachment 1310741
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kweli kwamba ukiingia ccm akili zinanyofolewa mlangoni ?Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.
Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.
View attachment 1310741
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaweza kucopy na kupaste toka nchi nyingine kama tulivyofanya kwa BRN na mengine,mbona nchi nyingi tu zina tume huru za uchaguzi,si lazima tuanzishe formula yetu mkuu kwenye jambo hiloHebu nisaidie ili hiyo tume iwe huru inatakiwa iweje? Au unaimba tu Tume Huru lakini hata huelewi mfumo wa nchi hii mkuu.
Hebu nisaidie ili hiyo tume iwe huru inatakiwa iweje? Au unaimba tu Tume Huru lakini hata huelewi mfumo wa nchi hii mkuu.
Hivi ni kweli kwamba ukiingia ccm akili zinanyofolewa mlangoni ?
huyu Mwalimu Wangu tangu amekalia hicho kiti na Akili imehama kabisa mungu amsaidie kwa kweli, Mkate wa Kila siku unapokuwa unapatikana bila taabu hata akili huwa inagoma kufikiri, huyu kwenye midahalo pale Nkuruma ndio alikuwa anazungumzia haya mambo ya Demokrasia, Haki na Tume huru leo gafla hata haoni maana ya Tume kisa amepewa shavu, Eeeh Mungu Tunusuru
Naamini siku akitoka ndani ya ccm akawa huru atajilaumu sana kwa kuidhalilisha hiyo PhD yake.Kama wana jiamini wana wapiga kura wa kutosha mbona wana tumia polisi kupata ushindi? /kwanini hawa taki tume huru? Ma prof wa Tz Mungu awarehemu
Sent using Jamii Forums mobile app