Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Binafsi nimeshindwa kumuelewa kabisa huyu bwana mkubwa wa CCM.

Maneno aliyo yaongea na elimu aliyo nayo sidhani kama vinaendana.

View attachment 1310741

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Bashiru nae ni PhD holder? ccm anafanya biashara gani za kuweza kutoa elimu bure kwa watanzania,au kujenga barabara na miundombinu ya maji,Kama ana PhD basi nchi yetu itakuwa imepigwa laana si bure,sasa Kama msomi wa PhD anafanya siasa za level ya Msukuma Kuna nini tena hapo
 
Uwezo Wa kufikiri Wa mtu upimwa tokana na mawazo yake na sio elimu yake phd ni makaratasi sawa na mengine
 
Waliopinga Juhudi za Jakaya kuleta Tume huru ya Uchaguzi na kupunguza madaraka ya Rais kwa kuwa tu alikataa Serikali tatu pendekezwa wanapitia kipindi kigumu sana

Majuto mjukuu,, na sioni kama itakaa itokee tena, its gone. Wasubiri miaka 100 tena kwa vizazi vitakavyokuwepo.
 
Hawajitambui hawa watu
Kama miundombinu inaleta wapiga kura, basi wakoloni walipaswa kuwa wanatuwala mpaka leo, maana wao walijenga reli, walileta meli, walijenga mashule, hospitali, miundombinu ya umeme nk. Je kwanini hao wananchi waliwagomea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama anaona Tume huru haisaidii Kwanini Hawataki tupate Tume huru sasa ili tuone kama haina msaada?
 
1578033161004.png
 
Kama miundombinu inaleta wapiga kura, basi wakoloni walipaswa kuwa wanatuwala mpaka leo, maana wao walijenga reli, walileta meli, walijenga mashule, hospitali, miundombinu ya umeme nk. Je kwanini hao wananchi waliwagomea?
Kosa kubwa la wakoloni lilikuwa ni kutunyanyasa,kutubagua kutudharau na atukuwapinga kwa sababu walituletea maendeleo.Watu walipinga uonevu.
 
Hivi Bashiru nae ni PhD holder? ccm anafanya biashara gani za kuweza kutoa elimu bure kwa watanzania,au kujenga barabara na miundombinu ya maji,Kama ana PhD basi nchi yetu itakuwa imepigwa laana si bure,sasa Kama msomi wa PhD anafanya siasa za level ya Msukuma Kuna nini tena hapo
Awamu hii uchague mawili usomi taaluma ufe njaa au ujitoe ufahamu yaani uweke elimu pembeni ucheze mdundo wa ngoma usife njaa.
 
Kosa kubwa la wakoloni lilikuwa ni kutunyanyasa,kutubagua kutudharau na atukuwapinga kwa sababu walituletea maendeleo.Watu walipinga uonevu.

Hakika, hata sasa watu wanapinga uonevu.
 
Awamu hii uchague mawili usomi taaluma ufe njaa au ujitoe ufahamu yaani uweke elimu pembeni ucheze mdundo wa ngoma usife njaa.
Basi tumeshapotea,kama tumeamua kuongozwa na tumbo basi tumeisha
 
Back
Top Bottom