Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Uchaguzi 2020 Dkt. Bashiru: Wanaotegemea Tume Huru iwape ushindi wanajidanganya! Tume haipigi kura

Hapa umewamaliza kabisa ,safi sana kwa ufafanuzi murua,wasipokuelewa Shari yao,
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani alikwambia katiba inabadilishwa kwa vifungu vya dharura?,kajipange upya
kuna hati nyingi zinazopelekwa bungeni kwa marekebisho, na kuna mijadala mingi hua inaendeshwa kwa dharura, lakini hati ya marekebisho ya katiba kuhusu tume huru ndio imekua mwiba kwa sisiem, sijui wanaogopa nini? wakati wao ndio wengi bungeni, ni wepesi sana na wanajua wakifanya marekebisho na ikapatikana tume huru wengi watarudi makwao kwenda kuchunga ng'ombe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
kilaza ktk ubora wake
 
kuna hati nyingi zinazopelekwa bungeni kwa marekebisho, na kuna mijadala mingi hua inaendeshwa kwa dharura, lakini hati ya marekebisho ya katiba kuhusu tume huru ndio imekua mwiba kwa sisiem, sijui wanaogopa nini? wakati wao ndio wengi bungeni, ni wepesi sana na wanajua wakifanya marekebisho na ikapatikana tume huru wengi watarudi makwao kwenda kuchunga ng'ombe!
unabadilishaje kipengele cha Katiba bila ridhaa ya wananchi?
 
Wapinzani wa nchi hii wanachekesha sana JK aliwapa chansi ya kutengeneza katiba mpya wakaichezea na wakasua wakatoka nje

Na cha kushangaza kilichowafanya wasusie bunge sio kipengele cha katiba mpya ila ni kipengele cha muundo wa serikali 3

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama wanachekesha cheka basi mpaka njia ya haja kubwa ifunguke ili unenepe
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
Mwandishi wa Post hii ameonesha udhaifu wake wa kujitambua na kuzitambua haki zake, haiingii akilini kukabidhi kwa mtu mwingine jukumu la kupata haki zako. Kila raia mwema anayeipenda nchi yake anawajibika kupaza sauti u
kuitaka serikali imtimizie haki zake za msingi za kuchagua na kuchaguliwa bila kuingiliwa, simama dai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
 
Ni vigumu sana na fujo kwa wapinzani kudai tume huru ya uchaguzi wakati uundwaji wa tume ya uchaguzi na kazi zake vyote vipo kwa mujibu wa katiba yetu ya sasa.

Ni makosa kuunda tume ya uchaguzi iliyo kinyume na vile Katiba inavyoagiza. Miaka 4 sasa baada ya uchaguzi wapinzani walikuwa kimya kwa visingizio wanavyovijua wao bila kujadili tatizo mama la chaguzi zetu ambalo ni katiba.

Dakika za lala salama kuelekea uchaguzi mwingine ndiyo wanakurupuka na kumdai Waziri Mkuu tume huru ya Uchaguzi. Ndiyo maana na Waziri Mkuu hakupata tabu ya kumjibu Mbowe kuwa katiba iliyopo ni kwa mujibu wa Katiba yetu.

Tunaomba wapinzani msitafute mchawi kaeni kimya kuhusu tume huru.
Ilishaelezwa kuwa katiba sio kipaumbele kwa sasa. Sasa atadaije katiba mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi wa Post hii ameonesha udhaifu wake wa kujitambua na kuzitambua haki zake, haiingii akilini kukabidhi kwa mtu mwingine jukumu la kupata haki zako. Kila raia mwema anayeipenda nchi yake anawajibika kupaza sauti u
kuitaka serikali imtimizie haki zake za msingi za kuchagua na kuchaguliwa bila kuingiliwa, simama dai katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Chama cha siasa ndio platform ya kisheria inayopaswa kuunganisha watu wenye mawazo mbadala ya kisiasa. Makini vyama vyetu vya siasa ni vikundi vya fujo wakati chaguzi zinapokaribia, eti leo ndo wanadai tume huru badala ya Jana. Katiba yetu inasema wazo ni nani anateua tume na wakurugenzi wa tume. Tulidhani vyama vyote vya upinzani vingejikita kwenye kubadili kipengele hicho cha katiba kinachokinza uundwaji wa tume huru.

Vinginevyo wanachofanya sasa ni fujo
 
Back
Top Bottom