Dkt. Charles Kimei: Bajeti ya Kwanza ya Rais Samia ni ya kuanzia mwaka wa fedha 2022/2023

Dkt. Charles Kimei: Bajeti ya Kwanza ya Rais Samia ni ya kuanzia mwaka wa fedha 2022/2023

Katika mambo ambayo Gavana wa BOT[ Benno Ndullu] alimshauri Jiwe ni athari za TOZO kwenye miamala kwa uchumi wa nchi; kuweka TOZO kenye miamala ya simu alisema haisaidii ukuaji wa uchumi kwasababu inawatenga wananchi wengi hasa wa vijijini kwenye ushiriki wa matumizi ya fedha [FINANCIAL INCLUSION} !! Mpango alikuwepo wakati huo kama waziri wa fedha na alikubaliana na hoja za Mwalimu wake [ Ndullu] lakini baada ya Ndullu kufariki ndio ujinga huu wa TOZO ukaanzishwa tena na athari zake kwa uchumi wa chi zinaonekana!!
Ndio maana baada ya tozo na kelele kuwa nyingi mama kaingilia hapa na pale ,punguza hivi na vile ilimradi kuwe na nafuu.

Nadhani bajeti ijayo zitapungua zaidi au kufutwa kabisa ila ya mafuta haitatoka but watafuta vile vingine vya tasac,sijui rea ,na upuuzi kama huo .

Prof.Ndulu alikuwa mchumi mzuri lakini huyu mwanasheria wa Sasa ni kichomi.
 
Mama anaupiga mwingi
Of course wa kutosha so unaona hizi Takwimu hapa 👇

Screenshot_20220102-155444.png


Screenshot_20220102-155425.png


Screenshot_20220102-155026.png
 
Kwa hiyo hata pesa za mkopo wa Corona ziliombwa na serikali ya awamu ya tano ya Magufuli na sio awamu ya Sita ya Samia? Yaani Magufuli alivyokuwa kinyume na harakati za Covid duniani halafu aende kuomba zile pesa zenye masharti haya?

Sote tunajua pesa za mkopo waa Covid zilianza kuombwa kabla ya ujio wa Tozo ama zote zilienda sambamba.

Yaani maCCM ni majinga sana halafu yanalazimisha sote tuwe wajinga
Who is talking about pesa ya mkopo wa corona here?
 
Akishiriki mjadala wa Mizani ya Wiki inayorushwa na Azam TV via Channel ya UTV Kuhusu hotuba ya Rais Samia,amesema bajeti inayotekelezeka sasa ilikuwa tayari imeshapangwa hapo kabla.

Kwa muktadha huo basi akasema wananchi wasubirie bajeti ya kwanza ya Rais Samia ya mwaka 2022/2023..

Wale watoa shutuma za tozo mtakuwa mumeipata hii.
Watu hawaishiwi vituko. Lolote linaloonekana kuwa baya, ni la Magufuli. Lolote linaloonekana kuwa zuri basi ni la Samia......
So pathetic
 
Watu hawaishiwi vituko. Lolote linaloonekana kuwa baya, ni la Magufuli. Lolote linaloonekana kuwa zuri basi ni la Samia......
So pathetic
Hapana mkuu ,Licha ya bajeti kuandaliwa ila Samia nae ana yake mengi ambayo alitoa kama maelekezo baada ya kuwa Rais .

Ila ni ukweli kwamba bajeti alikuta imepangwa,ndio maana uliona Bunge la mwezi wa tisa walipitisha mpango na muongozo wa bajeti ijayo,ndivyo ilifanyika pia Kabla Samia hajawa Rais.Kwa hiyo ni sahihi kwamba mambo mengi hakuwa aware nayo.

Mwisho hivi sasa tayari Watu wako kwenye maandalizi ya bajeti Kila taasisi baada ya Muongozo kwa hiyo hii ya mwaka huu ndio ita reflect muelekeo wa Serikali ya Samia.
 
Kwa hiyo ni sahihi kwamba mambo mengi hakuwa aware nayo.
Alikuwa nje ya serikali? Kwamba alikuwa hashiriki mipango ya nchi hii? Kwa nini Samia anatenganishwa na utawala wa awamu ya tano as if aliingia madarakani baada ya kupigiwa kura pale utawala wa awamu ya tano kufikia ukomo wa mihula yake miwili!?
This doesn't make sense to any sensible person.
 
Mmmh!

Kama bajeti ilishakuwa ulipangwa, mbona tumekuwa tukiona Rais akiekeleza matumizi ya fedha kadha wa kadha!!!
 
MAPATO KUPITIA FINE ZA BARABARANI YASISHUKE NAONA KAMA YAMELEGALEGA FINE ZA BARABARANI ILIKUWA NI CHANZO KIZURI NA KIKUBWA KWELI CHA MAPATO, THE GOVT SHOULD RESTORE THIS, AND NEVER ALLOWS ITS TO FALL/DROPS.
 
Katika mambo ambayo Gavana wa BOT[ Benno Ndullu] alimshauri Jiwe ni athari za TOZO kwenye miamala kwa uchumi wa nchi; kuweka TOZO kenye miamala ya simu alisema haisaidii ukuaji wa uchumi kwasababu inawatenga wananchi wengi hasa wa vijijini kwenye ushiriki wa matumizi ya fedha [FINANCIAL INCLUSION} !! Mpango alikuwepo wakati huo kama waziri wa fedha na alikubaliana na hoja za Mwalimu wake [ Ndullu] lakini baada ya Ndullu kufariki ndio ujinga huu wa TOZO ukaanzishwa tena na athari zake kwa uchumi wa chi zinaonekana!!
Hiyo ndio shida ya Viongozi wetu wa Tanzania, yaani wanapuuzia sana ushauri wa Wataalamu.
 
Alikuwa nje ya serikali? Kwamba alikuwa hashiriki mipango ya nchi hii? Kwa nini Samia anatenganishwa na utawala wa awamu ya tano as if aliingia madarakani baada ya kupigiwa kura pale utawala wa awamu ya tano kufikia ukomo wa mihula yake miwili!?
This doesn't make sense to any sensible person.
Wapi Makamu wa Rais anashiriki hiyo mipango? Ni mpaka ashirikishwe .

Ujue kutofautisha neno Vice president na Deputy President ila kama hujui utaishia kuuliza hicho unachouliza.
 
MAPATO KUPITIA FINE ZA BARABARANI YASISHUKE NAONA KAMA YAMELEGALEGA FINE ZA BARABARANI ILIKUWA NI CHANZO KIZURI NA KIKUBWA KWELI CHA MAPATO, THE GOVT SHOULD RESTORE THIS, AND NEVER ALLOWS ITS TO FALL/DROPS.
Mama anasema eti huu ulikuwa mradi wa polisi na pia kama unakumbuka kipindi cha Mwendazake ilikuwa polisi wanataja makusanyo ikawa inazusha mijadala Sana.

Kazi ya polisi sio kukusanya pesa bali kuzuia uhalifu,fines ni adhabu ya mwisho kabisa.Saizi badala ya fines unafutiwa leseni tuu na namba yako ya Nida tunaitoa kwenye fani yaani unapigwa blacklist.
 
Mmmh!

Kama bajeti ilishakuwa ulipangwa, mbona tumekuwa tukiona Rais akiekeleza matumizi ya fedha kadha wa kadha!!!
Hata ikipangwa bado Rais huwa ana uwezo wa kuelekeza ingawa haitakiwi kuwa nje ya bajeti,Magu alikuwa na tabia ya kufanya vitu nje ya bajeti .
 
Wapi Makamu wa Rais anashiriki hiyo mipango? Ni mpaka ashirikishwe .

Ujue kutofautisha neno Vice president na Deputy President ila kama hujui utaishia kuuliza hicho unachouliza.
Daaah, so sad. Kwa aina hii ya uelewa wacha tuendelee kupigwa kwa hizo tozo mpaka akili zikae sawa.
Hivi unajua kwamba haya mambo before they're presented to the parliament yanajadidiwa kwenye Baraza la Mawaziri? Na je unajua kwamba Makamo wa Rais ni Mjumbe kwenye Cabinet?
 
Akishiriki mjadala wa Mizani ya Wiki inayorushwa na Azam TV via Channel ya UTV Kuhusu hotuba ya Rais Samia,amesema bajeti inayotekelezeka sasa ilikuwa tayari imeshapangwa hapo kabla.

Kwa muktadha huo basi akasema wananchi wasubirie bajeti ya kwanza ya Rais Samia ya mwaka 2022/2023..

Wale watoa shutuma za tozo mtakuwa mumeipata hii.
Huyu Kimei no Kimeo,kwa hiyo Vikao vya Bunge mlivyokaa miezi mitatu na mkaweka tozo mlienda kupitiaha bajeti ya CCM?
 
Labda ungetaja kuwa kuna mzigo toka kwa wahisani vile Samia alikubaliana na mpango wa Covax...
Covax nayo haiko nje ya bajeti kwa sababu,bajeti ilihitaji kupata mikopo,misaada ya wahisani nk kwa hiyo kama ilipatikana it was good ..

Ona huu mchanganuo hapa una mikopo ya ndani,mikopo ya Nje na misaada kutoka washirika wa maendeleo 👇

Screenshot_20220102-082208.png
 
Back
Top Bottom