shida tupu... Eti PLANE= ndegeTozo ni Plane ya Sehemu ya Serikali ya awamu ya Tano,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida tupu... Eti PLANE= ndegeTozo ni Plane ya Sehemu ya Serikali ya awamu ya Tano,
Prof.Ndulu alikuwa mchumi mzuri lakini huyu mwanasheria wa Sasa ni kichomi
Magufuli awezi kuweka tozo za kianithi kwa masikini akaacha kukusanya pesa kwenye madini na resource ambazo mungy katupatia ,Tozo ni project ya team wahuni bin msogaNdio mbona zigo la tozo anabebeshwa Samia na Mwigulu na kumuacha Mwendazake na Mpango?
Hiyo ni harufu ya mafii ya wahuni ......tokomeza wahuni popote uwaonapo ,mama kachagua kwenda na wahuni na kuwaacha wananchi na uzarendoWatu hawaishiwi vituko. Lolote linaloonekana kuwa baya, ni la Magufuli. Lolote linaloonekana kuwa zuri basi ni la Samia......
So pathetic
20,000 ya kulipisha wauza mboga eti Kitambulisho cha mjasiliamali aliweka nani?Magufuli awezi kuweka tozo za kianithi kwa masikini akaacha kukusanya pesa kwenye madini na resource ambazo mungy katupatia ,Tozo ni project ya team wahuni bin msoga
Hiyo ilipendwa na hao wauza mboga maana awakuishi tena kama digigi mitaani20,000 ya kulipisha wauza mboga eti Kitambulisho cha mjasiliamali aliweka nani?
Kweli tupuKatika mambo ambayo Gavana wa BOT[ Benno Ndullu] alimshauri Jiwe ni athari za TOZO kwenye miamala kwa uchumi wa nchi; kuweka TOZO kenye miamala ya simu alisema haisaidii ukuaji wa uchumi kwasababu inawatenga wananchi wengi hasa wa vijijini kwenye ushiriki wa matumizi ya fedha [FINANCIAL INCLUSION} !! Mpango alikuwepo wakati huo kama waziri wa fedha na alikubaliana na hoja za Mwalimu wake [ Ndullu] lakini baada ya Ndullu kufariki ndio ujinga huu wa TOZO ukaanzishwa tena na athari zake kwa uchumi wa chi zinaonekana!!
Ukoo wako labda ndo k..Magu alikuwa ni k.. Sijui ni....