Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Naona Diallo kajibu swali kisiasa na si kiuhalisia.
Dialo tuna mfahamu kwa kuwa ni straight talker, na si wengine tunamfahamu tok akiwa kijana.

Kwanza lazima Dialo akubali kueleza kuwa Magufuli hakuwa msukuma, ni mtu aliyelowea toka Burundi huko , na ana historia ya ukimbizi.
Pili, Ili kupata backing ya kisiasa, Magufuli amewatumia sana wasukuma na jina la wasukuma ili aptae mizizi ya kisiasa.
Hilo halina ubishi.

Tatu, Sukuma gang si lazima mtu awe msukuma.
Sukuma Gang ni wale wafuasi wa karibu wa Magufuli, wengine abao wala si wasukuma kama kina kalemani, Doto n.k.
Sukuma ganag is a political coinage ya wafuasi wa Magufuli, wengi wao wanaotoka kanda ya ziwa.

Lkini Mbaya zaidi Sukuma Gang vile vile ni kielelezo cha UKABILA ambao Magufuli alifanikiwa kuujenga, kwa kuteua watu waliokaribu naye na wa kwao.
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Kujikomba komba napo ni ufundi, umakini, akili, kila la kheri yao…
 
Wasukuma Orijino ni Shinyanga.
Wasukuma Org ni Mwanza shinyanga maana yake Shinyaga kwa kisukuma na kwa kiswahili mavi ya ng'ombe kwa hiyo ni eneo ambalo wafugaji wa kisukuma walihamia!
 
Pyee bhinikili nkimbili unene naluhaga gete.

Bhanyaneghwe mdabhamanile "sukuma gang".??? Masala magehu.
 
Anthony Ng'wandu Dialo ni mngoni huyo sasa. Nyambaff
Huyu Mzee Diallo ni mgogo wa Dodoma na alizaliwa Dodoma Kwa baba mgogo .Ila mama yake alikuwa mchanganyiko wa msukuma na mzinza
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Wasukuma Og ni wale wa Bariadi na Bariadi ipo Shinyanga. Dr. Diallo muongo ndiyo maana awamu ya 5 alipigwa vitasa
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Point taken ✔️, kumbe kuna wasukuma fake 🤔🤔🤔nishaelewa sasa 😂😂😂😂
 
Huyu mzee anavunja miiko ya kabila lao kisa siasa na tumbo.Rais samia sio chief wa wasukuma tu ni chief wa makabila yote nchini kiongozi akiwa Rais tu anapewa na uchief wa nchi nzima aache bias ni chief wetu sote ndo maana baada ya kuapishwa anapewa ngao ya uchief
Kwanini wanamwita chifu Hayanga?

Kwanini jina hili alikwenda kutajwa Usukumani?

Kwanini hakutajwa siku alioapa kuwa Rais wa JMT?

Kwanini hakutumia jina la Kabila lingine, kwanini jina la Kisukuma?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Kuna wakati mtu unajikuta kama unalazimishwa kuanza kuhoji umri wa mtu

images (12).jpeg
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Diallo sio jina kisukuma, akueleze ukweli alilitoa wapi.
 
Back
Top Bottom