Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
https://www.google.com/imgres?imgurl=https://media.africaportal.org/images/Theresa_final2.width-1200.jpg&imgrefurl=https://www.africaportal.org/features/women-policy-making-chief-theresa-kachindamoto/&tbnid=wXAIUi7V-6wdWM&vet=12ahUKEwiOlcfRqpD1AhUX4oUKHZzgDQIQMygCegUIARC1AQ..i&docid=yk6VWlZx9SL9RM&w=1200&h=600&itg=1&q=african women traditional chiefs&ved=2ahUKEwiOlcfRqpD1AhUX4oUKHZzgDQIQMygCegUIARC1AQ
View attachment 2064953
Chief Theresa Kachindamoto
africaportal.org
Chief Theresa Kachindamoto
africaportal.org
View attachment 2064950
Swali zuri hilo!!!
Kwa hiyo mama ni kiongozi wa Wasukuma peke yao? Chief wa Wahehe sijui ni Nani?
Siyo tu USHABIKI Bali ni ujinga uliokithiriChifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.
Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.
Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Source: Star tv
Ila ana genetical make up yake imezidi kwa wasukumaHuyu Mzee Diallo ni mgogo wa Dodoma na alizaliwa Dodoma Kwa baba mgogo .Ila mama yake alikuwa mchanganyiko wa msukuma na mzinza
Ng'wandu sio msukuma😂Jina la ukoo lake la Mwisho ni Diallo Jina Hilo halipo kwenye Koo za kisukuma
KwendraaaLabda chief wa wazaramo. Ila wasukuma hawajawahi kuwa na mwanamke chief
Kwan wapi iliandikwa kwamba Chief lazima awe mwanaume au mbaba? Akili ndogo ni tabu sanaChifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Chief lazima ajue somo la HesabuKwan wapi iliandikwa kwamba Chief lazima awe mwanaume au mbaba? Akili ndogo ni tabu sana
Hivi unaelewa kweli kinachozungumziwa au unakurupuka tu, well kwanini huyo mwanamke alimpa nguvu mwanamalundi? kwanini yeye asingekuwa chief?, point bado ipo pale pale wasukuma hatuna chief mwanamke.Chifu wenu mwanamalundi chunguza nguvu zake alipata wapi kama sio kwa aliyekuwa chiefu wa wanyaturu wa Singida mwanamke aliyeitwa chief Lerry au liti. Soma historia na heshimu wanawake
hujui historia wewe, mwanza au kabila la wasukuma lilishawahi kuwa na chief mwanamke na alikuwa miongoni mwa machifu waliosifika sanaHuyu diallo...
Kadri anavyo zeeka ndo akili zinakua chache.
Mwanamke na uchifu, wapi na wapi!!
Hakuna Sukuma gang bali wapo pro Magufuli mpaka huko kwenye bwawa la Nyerere walionekana na kusikika !!Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.
Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.
Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Source: Star tv