Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Ndio hapo wasukuma waliposhushwa. Kumsimika mwanamke kuwa chief
 

Chifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu​


https://www.google.com/imgres?imgur...hUKEwiOlcfRqpD1AhUX4oUKHZzgDQIQMygCegUIARC1AQ
Women in Policy Making: Chief Theresa Kachindamoto

Chief Theresa Kachindamoto
africaportal.org

Chief Theresa Kachindamoto
africaportal.org


1641032674735.png
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.

Source: Star tv

Kimsingi magufuli aliutumia usukuma kama koti tu ; ili afaidike na wingi wao
 
Huyu Mzee Diallo ni mgogo wa Dodoma na alizaliwa Dodoma Kwa baba mgogo .Ila mama yake alikuwa mchanganyiko wa msukuma na mzinza
Ila ana genetical make up yake imezidi kwa wasukuma
 
Chifu wenu mwanamalundi chunguza nguvu zake alipata wapi kama sio kwa aliyekuwa chiefu wa wanyaturu wa Singida mwanamke aliyeitwa chief Lerry au liti. Soma historia na heshimu wanawake
Hivi unaelewa kweli kinachozungumziwa au unakurupuka tu, well kwanini huyo mwanamke alimpa nguvu mwanamalundi? kwanini yeye asingekuwa chief?, point bado ipo pale pale wasukuma hatuna chief mwanamke.
 
Huyu diallo...

Kadri anavyo zeeka ndo akili zinakua chache.

Mwanamke na uchifu, wapi na wapi!!
hujui historia wewe, mwanza au kabila la wasukuma lilishawahi kuwa na chief mwanamke na alikuwa miongoni mwa machifu waliosifika sana
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.

Source: Star tv
Hakuna Sukuma gang bali wapo pro Magufuli mpaka huko kwenye bwawa la Nyerere walionekana na kusikika !!
 
Back
Top Bottom