Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwe kama Mbuni bandugu kwamba kwa vile kichwa umeweka kwenye mchanga basi dunia yote usiyoitaka haipo tena. Ulijiridhisha kuwa hamna chief Mwanamke kabla ya kuandika?!Chifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Wasukuma halisi tunataka kujua ni kina nani wapo nyuma ya kifo cha mpendwa wetu Dr. Magufuli. Vinginevyo huyo chifu wenu na washirika wake wataiona Kanda ya Ziwa chungu. Tupo hapa.
maswali magumu!Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Anarushia watu wenye hasira mawe wakati yupo kwenye nyumba ya vioo.Hakuna ukoo wa kisukuma unaitwa Diallo Wasukuma Original hawalitambui Hilo jina
Hivi kuna umuhimu gani wa kuwa wafuasi wa marehemu?Naona Diallo kajibu swali kisiasa na si kiuhalisia.
Dialo tuna mfahamu kwa kuwa ni straight talker, na si wengine tunamfahamu tok akiwa kijana.
Kwanza lazima Dialo akubali kueleza kuwa Magufuli hakuwa msukuma, ni mtu aliyelowea toka Burundi huko , na ana historia ya ukimbizi.
Pili, Ili kupata backing ya kisiasa, Magufuli amewatumia sana wasukuma na jina la wasukuma ili aptae mizizi ya kisiasa.
Hilo halina ubishi.
Tatu, Sukuma gang si lazima mtu awe msukuma.
Sukuma Gang ni wale wafuasi wa karibu wa Magufuli, wengine abao wala si wasukuma kama kina kalemani, Doto n.k.
Sukuma ganag is a political coinage ya wafuasi wa Magufuli, wengi wao wanaotoka kanda ya ziwa.
Lkini Mbaya zaidi Sukuma Gang vile vile ni kielelezo cha UKABILA ambao Magufuli alifanikiwa kuujenga, kwa kuteua watu waliokaribu naye na wa kwao.
Magufuli is dead and buried.Hivi kuna umuhimu gani wa kuwa wafuasi wa marehemu?
NKAMBA na NGOLO walikuwa kina nani?Chifu mwanamke wapi na wapi wasukuma hawanaga hizo labda malenga wanawake ndo wako kibao
Vipi kuhusu amiri jeshi? Rais ni zaidi ya ujuavyo.Chifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Uite ujinga
Diallo siyo Msukuma ni mliwezi tuHakuna ukoo wa kisukuma unaitwa Diallo Wasukuma Original hawalitambui Hilo jina