Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ni kutokana na ukabila aliouacha Jiwe.Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Jina Hangaya ni la mwanaume? Tumieni akili hata kidogo. Lile ni jina la mwanamke aliyekuwa chifu wa wasukumaHuyu diallo...
Kadri anavyo zeeka ndo akili zinakua chache.
Mwanamke na uchifu, wapi na wapi!!
Uchifu wa Wasukuma ni strictly kuzaliwa. Kama mtoto mkubwa ni mwanamke ndiye Mtemi.Chifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Mkono wa baunsa [emoji23] [emoji23]Kuna Boyz 2 men,Kuna wahuni,Kuna Gang of wastaafu,Kuna CCM Jesuits,Kuna wateule,Kuna CCM magamba ,Kuna CCM mkono wa Baunsa na mengine mengii
Nyie Wanawake kwa kuoneana wivu?
Wahuni😆😆😆👃👃Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Unamsamehe tuKuna mpumbavu anajifanya mjuaji zaidi ya sisi wazawa wa Lake zone
Hima Lolo!Pyee bhinikili nkimbili unene naluhaga gete.
Bhanyaneghwe mdabhamanile "sukuma gang".??? Masala magehu.
Diallo ameanza vibweka!Wasukuma wa Ng'wanza kiongozi wao anatokea Pemba aka Tokopembamaswaa?Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.
Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.
Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Source: Star tv
Kabla ya kumpa jina,mjichunguze.Ameeleza uongo?
Siku hizi wamehamia Ihefu!Wasukuma Orijino ni Shinyanga.
Amesaka fursa ya kuungwa mkono kisiasa.Si unawajua Bhasukuma?Ukiwasifu tu wanaanza kusema ..."yeeee...hiiii...ndoho taabhuu yaaayaaaa"...!Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Huyu Diallo yeye nani kampa mamlaka ya kuwasemea wasukuma?