Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Kama padre awe mamaChifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama padre awe mamaChifu tangu lini akawa mama? Mambo mengine ni ushabiki wa kisiasa tu
Dialo ni mkenya kwanzaHakuna ukoo wa kisukuma unaitwa Diallo Wasukuma Original hawalitambui Hilo jina
Wasukuma ndiyo kabila kubwa TZ, sikuzote Winners wanajiassociate na wale ambao wanaweza kuwafaidisha kwa namna moja ama nyingine! Ulitaka akawe Chief wa Wamawia ambao kuna waTZ wengine hata hawajui kuna hilo kabila?Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Joseph Kasheku ni fake yule!Huyu atajibiwa na Msukuma alafu mzimu wa Magufuli utamaliza kazi...
Sio rahisi nchi Rais anafariki alafu nchi inakuwa Salama, tungeishangaza Dunia... Now vita ndio inaanza Rasmi...
Mmawia njoo huku!Wasukuma ndiyo kabila kubwa TZ, sikuzote Winners wanajiassociate na wale ambao wanaweza kuwafaidisha kwa namna moja ama nyingine! Ulitaka akawe Chief wa Wamawia ambao kuna waTZ wengine hata hawajui kuna hilo kabila?
Ni wakati wa kusema ukweli ili watu wawajibike!Unapenda chuki weweee khaaaaà
Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?
Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Ameshasimikwa, Chief Hangaya, hutaki jinyongeLabda chief wa wazaramo. Ila wasukuma hawajawahi kuwa na mwanamke chief
Kama kweli amesemaAkijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.
Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.
Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Source: Star tv
Ni chifu wakeSwali zuri hilo!!!
Kwa hiyo mama ni kiongozi wa Wasukuma peke yao? Chief wa Wahehe sijui ni Nani?
Sukuma gang siyo ukabila kikundi kinachoundwa. Na watu wenye wivu. Chuki. Husda rohomvaya, wauwaji, watesaji, na Tabia zote ta yule muovuAkijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.
Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.
Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.
Source: Star tv
Tunaongelea wahutu walivyoingia Tanzania na kutawala!Yeye Diallo hajatokea Senegali kweli?
Achaa utotoKama WASUKUMA halisi wamewakataa SUKUMA gang, basi kilichobaki sasa tuitoe hiyo SU kutoka kwenye SUKUMA, na waitwe K... gang
Ni kweli, ni bahati mbaya tu kwamaba kinaitwa Sukuma Gang , maana hakishabihiani na wasukuma bali wafuasi wa yule mwendazake.Sukuma gang siyo ukabila kikundi kinachoundwa. Na watu wenye wivu. Chuki. Husda rohomvaya, wauwaji, watesaji, na Tabia zote ta yule muovu
Mbona mzee Aikael Mbowe alitokea Malawi.Tunaongelea wahutu walivyoingia Tanzania na kutawala!
Sawa K gangAchaa utoto
Inaelekea ulisoma Kayumba, rudi shuleni usome vizuri jiografia yako!Mbona mzee Aikael Mbowe alitokea Malawi.
Africa ni moja bwashee!
Machame walihamia tu.Inaelekea ulisoma Kayumba, rudi shuleni usome vizuri jiografia yako!
Maana kwako Malawi iko Machame!!