Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Dkt. Diallo: Sisi Mwanza ndio Wasukuma original na Rais Samia ni Chifu wetu, hao wanaoitwa Sukuma Gang hatuwatambui

Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?

Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
Wasukuma ndiyo kabila kubwa TZ, sikuzote Winners wanajiassociate na wale ambao wanaweza kuwafaidisha kwa namna moja ama nyingine! Ulitaka akawe Chief wa Wamawia ambao kuna waTZ wengine hata hawajui kuna hilo kabila?
 
Lowassa alifanywa chifu wa Wanyamwezi na mchongo huo ulichongwa ba Prof Juma Kapuya

Ma Sheikh wa Kijijini kwa Jakaya wakakusanywa na Hamis Mgeja wakaenda Dodoma kumshinikiza Ngoyai kugombea Urais 2015

Vurugu za namna hii naona zinaanza kurudi

Huku watu wanatambia usukuma wengine wanatambia Ugogo
Ukiacha Sukuma gang makundi mengine ya CCM ni yapi?

Alafu kwanini mama amekimbilia mapema kuwa Chief Hangaya wa wasukuma akaacha kuwa Chief kwenye makabila mengine?
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.

Source: Star tv
Kama kweli amesema
"Analamba viatu"
 
Kama WASUKUMA halisi wamewakataa SUKUMA gang, basi kilichobaki sasa tuitoe hiyo SU kutoka kwenye SUKUMA, na waitwe K... gang
 
Akijibu swali la mwandishi wa habari aliyetaka kujua kwanini sasa kunaibuka makundi ndani ya CCM Dr Diallo amesema na yeye anasikia tu kwamba kuna makundi likiwemo Sukuma gang.

Diallo amesema Mwanza ndiko waliko Wasukuma original lakini wote wanamuunga mkono Rais Samia ambaye ni Chifu wao akitambulika kama Chifu Hangaya.

Sasa hao Sukuma gang wanatokea wapi ikiwa hapa Mwanza hawatambuliki? amehoji Mwenyekiti wa CCM Dr Anthony Diallo.

Source: Star tv
Sukuma gang siyo ukabila kikundi kinachoundwa. Na watu wenye wivu. Chuki. Husda rohomvaya, wauwaji, watesaji, na Tabia zote ta yule muovu
 
Sukuma gang siyo ukabila kikundi kinachoundwa. Na watu wenye wivu. Chuki. Husda rohomvaya, wauwaji, watesaji, na Tabia zote ta yule muovu
Ni kweli, ni bahati mbaya tu kwamaba kinaitwa Sukuma Gang , maana hakishabihiani na wasukuma bali wafuasi wa yule mwendazake.
 
Back
Top Bottom