Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Kwa hakika Tunamshukuru sana Rais Samia kuwezesha ushindi wa Dkt Faustine NdugulileRais Samia hajawahi fanya kampeni ya kidiplomasia akashindwa.
Alimtuma Ummy Mwalimu kuzunguka zaidi ya Nchi 15 Kupeleka ujumbe wa Rais kuomba kura za Ndugulile.
๐น๐ฟ๐น๐ฟ Imeshinda.
Ndio kawezesha ushindi huu wa Mheshimiwa Dkt NdugulileHuuuu ni ungeseee mwingine,,,, sasa Hapa โฑ๏ธMia kaingiaje?
Ujumbe wako no habari njema lakini umeandika na mafubwasha yasiyoendana na ushindi wa Ndugulile. Je ushindi wa Ndungulile ni wa CCM au Tanzania?Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
na actually,Rais Samia hajawahi fanya kampeni ya kidiplomasia akashindwa.
Alimtuma Ummy Mwalimu kuzunguka zaidi ya Nchi 15 Kupeleka ujumbe wa Rais kuomba kura za Ndugulile.
๐น๐ฟ๐น๐ฟ Imeshinda.
Kwani uliona wapi watu kama wa CHADEMA wakimpigia kampeni Dkt Ndugulile?Ujumbe wako no habari njema lakini umeandika na mafubwasha yasiyoendana na ushindi wa Ndugulile. Je ushindi wa Ndungulile ni wa CCM au Tanzania?
Jifunze kuweka mizania kwenye jumbe zako. Usichanganye upuuzi na mambo ya msingi
Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewena actually,
Mh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan, alifanya kazi kubwa sana pia na ku make sure Dr.Tulia Akson anashinda urasi wa shirikisho la mabunge duniani..
huyu mama kwa mipango mikakati ya ushindi hawezekaniki aise ๐น
[emoji7]Ndugu zangu Watanzania,
Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.
Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.
Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.
Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni
Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Afcon,Makao Makuu ya Mahakama ya Haki za binadamu Arusha nkna actually,
Mh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan, alifanya kazi kubwa sana pia na ku make sure Dr.Tulia Akson anashinda urasi wa shirikisho la mabunge duniani..
huyu mama kwa mipango mikakati ya ushindi hawezekaniki aise ๐น
Kuna Ndugulile kama mwanachama wa CCM, Mbunge wa CCM etc ambako Ndugulile kama Ndugulile anawekwa nyuma na Ndugulile kama mwana CCM anakaa mbele.Sijakuelewa mkuu unaposema Ndugulile kama Ndugulile, kwani kuna Ndugulile kama Ndugu nini?
halafu kuna jamaa ati wanajipiga kifua kabisa kushindana nae kwenye uchaguzi...Afcon,Makao Makuu ya Mahakama ya Haki za binadamu Arusha nk
Hakuna mwingiliano/mahusiano kati ya Jimbo na hiyo nafasi yake mpya.Jimbo liko wazi naamini!!
Naomba kufahamu wagombea wenzake na Ndugulile walifanyiwa kampenni na vyama gani vya siasa?Kwani uliona wapi watu kama wa CHADEMA wakimpigia kampeni Dkt Ndugulile?
Hadi kijijini kwao unapajua, wasikibishie wewe na mkurugenzi mnajuanaNamjua vizuri huyo jamaa,mpaka marehem baba yake,baba yake alikua mtu wa ajabu sana
Kwa hakika tuna kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa ushawishi wake na kufanikisha ushindi huu kwa kishindo kikuu kilicho itetemesha Dunia nzima.Yote haya ni kwa sababu ya influence ya mh.Rais SSH [emoji2956]
Kongole kwake Dr.Ndugulile [emoji7][emoji7]
Ni ngumu kwa mataifa yanayozungumza KIFARANSA kutowapigia kura wenzao wa lugha hiyo (francophone)....
"Lobby" iliyofanyika imelipa ,kura 25 kati ya 46 si haba hata kidogo katika ya nchi zinazozungumza kiingereza na kifaransa.....
#Tuhongereke watanzania [emoji7]
#Tanzania Imeshinda[emoji7]
Hapana... hicho kiliwahi kuwa cheo cha Dr Mwele Malecela?
Hakika Mwaisa[emoji7]Kwa hakika tuna kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa ushawishi wake na kufanikisha ushindi huu kwa kishindo kikuu kilicho itetemesha Dunia nzima.
Nadhani kabla hajaenda Geneva kwenye hiyo position na mauti kumkutia hukohuko, alianzia WHO Africa tena huko huko DRC.Hapana
=======
Mwele Ntuli Malecela was a Tanzanian civil servant who was a senior United Nations official and the director of the Department of Control of Neglected Tropical Diseases at the World Health Organization Headquarters in Geneva, Switzerland.
Baba yake alikua kigogo wizara ya mambo ya njeHadi kijijini kwao unapajua, wasikibishie wewe na mkurugenzi mnajuana