Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika

Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ujumbe wako no habari njema lakini umeandika na mafubwasha yasiyoendana na ushindi wa Ndugulile. Je ushindi wa Ndungulile ni wa CCM au Tanzania?

Jifunze kuweka mizania kwenye jumbe zako. Usichanganye upuuzi na mambo ya msingi
 
Rais Samia hajawahi fanya kampeni ya kidiplomasia akashindwa.

Alimtuma Ummy Mwalimu kuzunguka zaidi ya Nchi 15 Kupeleka ujumbe wa Rais kuomba kura za Ndugulile.

🇹🇿🇹🇿 Imeshinda.
na actually,
Mh.Rais Dr Samia Suluhu Hassan, alifanya kazi kubwa sana pia na ku make sure Dr.Tulia Akson anashinda urasi wa shirikisho la mabunge duniani..

huyu mama kwa mipango mikakati ya ushindi hawezekaniki aise 🌹
 
Ujumbe wako no habari njema lakini umeandika na mafubwasha yasiyoendana na ushindi wa Ndugulile. Je ushindi wa Ndungulile ni wa CCM au Tanzania?

Jifunze kuweka mizania kwenye jumbe zako. Usichanganye upuuzi na mambo ya msingi
Kwani uliona wapi watu kama wa CHADEMA wakimpigia kampeni Dkt Ndugulile?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mbunge wa Kigamboni na Naibu Waziri wa Afya wa zamani Dkt. Faustine Ndugulile, ameshinda uchaguzi wa kiti cha Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika.

Katika Uchaguzi uliofanyika leo jijini Brazzaville nchini Congo, wajumbe 25 kati ya 46 wa Mkutano Mkuu wa 74 wa WHO uliofanyika leo wamemchagua Ndugulile na hivyo kuwashinda wagombea wengine kutoka Niger na Senegal.

Tayari Ndugulile ameeleza wazi kuwa vipaumbele vyake ni kuhakikisha Watu wanapata haki ya kupata huduma bora za afya, kuboresha utayari wa nchi za Afrika katika kukabiliana na majanga ya magonjwa ya mlipuko, kuimarisha uwajibikaji ndani ya WHO kanda ya Afrika pamoja na kuimarisha mawasiliano baina ya nchi wanachama katika masuala ya Afya.

Soma Pia: Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni

Kazi iendelee , Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Kazi iendelee, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
[emoji7]
 
Yote haya ni kwa sababu ya influence ya mh.Rais SSH [emoji2956]

Kongole kwake Dr.Ndugulile [emoji7][emoji7]

Ni ngumu kwa mataifa yanayozungumza KIFARANSA kutowapigia kura wenzao wa lugha hiyo (francophone)....

"Lobby" iliyofanyika imelipa ,kura 25 kati ya 46 si haba hata kidogo kati ya nchi zinazozungumza kiingereza na kifaransa.....

#Tuhongereke watanzania [emoji7]

#Tanzania Imeshinda[emoji7]
 
Yote haya ni kwa sababu ya influence ya mh.Rais SSH [emoji2956]

Kongole kwake Dr.Ndugulile [emoji7][emoji7]

Ni ngumu kwa mataifa yanayozungumza KIFARANSA kutowapigia kura wenzao wa lugha hiyo (francophone)....

"Lobby" iliyofanyika imelipa ,kura 25 kati ya 46 si haba hata kidogo katika ya nchi zinazozungumza kiingereza na kifaransa.....

#Tuhongereke watanzania [emoji7]

#Tanzania Imeshinda[emoji7]
Kwa hakika tuna kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa ushawishi wake na kufanikisha ushindi huu kwa kishindo kikuu kilicho itetemesha Dunia nzima.
 
... hicho kiliwahi kuwa cheo cha Dr Mwele Malecela?
Hapana
=======

Mwele Ntuli Malecela was a Tanzanian civil servant who was a senior United Nations official and the director of the Department of Control of Neglected Tropical Diseases at the World Health Organization Headquarters in Geneva, Switzerland.
 
Kwa hakika tuna kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza Rais wetu mpendwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa ushawishi wake na kufanikisha ushindi huu kwa kishindo kikuu kilicho itetemesha Dunia nzima.
Hakika Mwaisa[emoji7]

Alama anazoendelea kuzidhihirisha hazihitaji hata mwanga wa tochi....

#Tunamshukuru mh.Rais daktari Mama Samia [emoji7]
#Tunampongeza mh.Rais daktari mama Samia [emoji7]

#Nchi inaendelea kuwa tulivu chini yake [emoji2956][emoji2956]
 
Hapana
=======

Mwele Ntuli Malecela was a Tanzanian civil servant who was a senior United Nations official and the director of the Department of Control of Neglected Tropical Diseases at the World Health Organization Headquarters in Geneva, Switzerland.
Nadhani kabla hajaenda Geneva kwenye hiyo position na mauti kumkutia hukohuko, alianzia WHO Africa tena huko huko DRC.
 
Back
Top Bottom