Tusimwage kuku kwenye mchele mwingiJaman upo? Mic u
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusimwage kuku kwenye mchele mwingiJaman upo? Mic u
Na msikitini unatumia Jina Hilo Mscleopatra ? Nilikuambia mwanzoni hukuelewa. Acha udini.Na kama mavazi hayo si ya waislam basi kama unawatoto wa kike kawanunulie hijab na mabaibui jpili muende zenu kanisani kama hawatokushangaa😂
Tatizo siyo kuiamini, tatizo kubwa zaidi ni kule kuitazama na kuisikiliza kuongeza viewers.Kama utakuwa uliamini ile story ya nyoka,wewe ni mmoja wa Watanzania wanaochangia umasikini na unatakiwa ufe kwani hauna faida yoyote hapa duniani.
Jina sio imaniBinti anaitwa Veronica Bernard Anton lakini amevaa kama bint wa kiislam yote hiyo kuchafua waislam waonekane wanapenda kujishirikisha na ushirikina😂 ila hii nchi inavichaa sanaa
Utapeli upo hadi makanisani hawaoni?BINTI ALIYEDAI ANAISHI NA NYOKA AJISALIMISHA KWA WAZIRI DKT. GWAJIMA
Aomba radhi, adai hajawahi kufanya hivyo alidanganya.
DAR ES SALAAM.
Itakumbukwa hivi karibuni ilienea video mitandaoni kupitia televisheni ya MBENGO TV ikionesha Binti mmoja aliyekuwa amebeba nyoka mkubwa huku akidai kwamba, hufanya naye mapenzi ili kupata fedha.
Kufuatia hali hiyo, Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu Mhe. Dkt. Gwajima , alichukua hatua ya kukemea kitendo hicho na kumtaka ajitokeze kuomba radhi kwa Umma na kuondoa taarifa hiyo mtandaoni kutokana na kukiuka maadili.
Baada ya mmiliki wa Mbengo TV, Tarzan Mustapha aliyeambatana na mtangazaji Lenny kuomba radhi Mei 11, 2024, walielekezwa kumtafuta binti huyo waliyemrekodi vinginevyo wachukuliwe hatua za kisheria kwa kukiuka sheria ya usajili wao kwa kushirikiana kupotosha jamii kwa habari za utapeli.
Leo 20 Mei, 2024 Binti huyo aitwaye Veronica Bernad Anton aliyekuwa amebeba nyoka huyo naye amejisalimisha kwa Waziri Dkt. Gwajima na kuomba radhi kama video inavyoonesha.
Waziri Dkt. Gwajima ameelekeza kutafutwa kwa mmiliki wa nyoka au ajitokeze mwenyewe kabla hatua za Serikali kumtafuta hazijaanza ambapo, itaongeza makosa yake ya kutotoa ushirikiano kwa Serikali.
Waziri Dkt. Gwajima ameiasa jamii ya wanahabari na wasanii kuachana na utapeli na mambo yote yanayochochea mmonyoko wa maadili maana akiwa Waziri mwenye dhamana na Jamii yenye makundi maalum hatafumbia macho uongo, utapeli na uovu huo.
MWISHO
NB; nawasihi wanajamii wote kuheshimu Sheria kwa maendeleo na ustawi wa jamii na kutunza maadili.
Pia soma: Epuka kusambaza maudhui yasiyo na maadili. Anayedai kumiliki nyoka na kushiriki naye tendo, ajisalimishe
View attachment 2995537
View attachment 2995538
Akili unazozisema kilasiku zinanini? Hebu nenda sehem inayoishi jamii ya waislam wengi ukaone mavazi yao mfano Saudiarabia, dubai, Iran na Zanzibar,tuu hapo katizame wanavyo vaakuvaa hivyo ni uislam?.Hizi ndio akili tunazozisema kila siku.Kwanza jina au mavazi havina uhusiano na dini ya mtu.
Hata kama jina sio imani kwann ajiite jina la jamii ya kiislam jaman hivi ile interview hamkutizama au ndio watu mnapenda kubishana okay mmeshinda jina sio imaniJina sio imani
Wewe ndio acha udini tizama umekosa la kusema unaanza kusema naingia msikitini kwa jina la cleopatra😂 unashindwa kusema ukweli kwakuwa upo dini fulani pole wee unaumaskin wa fikra jombiNa msikitini unatumia Jina Hilo Mscleopatra ? Nilikuambia mwanzoni hukuelewa. Acha udini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbonaa km unaogopaa sanaa? Mie nitaongea nae km kiongozi wa idara.Utapiga pigaje sasa, isije kuwa unaomba Dkt.Mheshimiwa, Eti Aombe ruhusa kwa papa wa italy eti halalishe ushuwaini wa matacooo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Basi sawaa!!Tusimwage kuku kwenye mchele mwingi
Wizooo naomba niwe MC Plz. [emoji23][emoji23][emoji23]Mama Gwajima Shkamoo...
Vipi lile jambo letu la ndoa za kikatoliki tunaomba kupewa kibali, nataka nifunge ndoa takatifu na Poor Brain kwenye kanisa la ST PETERS hapo dar mwezi ujao.
Natumai nitapata leseni kutoka ofisi yako yenye uzalendo mkubwa. Ahsante.
Ni mimi katika ujenzi wa Taifa, BICHWA KOMWE.
Cc: Lamomy cocastic
Hongera ww mwenye akili kubwa unaejitia upofu huoni ukweli kwa kuwa upo dini fulaniKuna watu wana akili ndogo sana.
Hiyo Spana nimekupiga m,Acha udini na usijizungushe.Panua mawazo yako ya fikra usigawe watu kwa mavazi kama hawa wana haki miliki na Hilo ni vazi Lao.Wewe ndio acha udini tizama umekosa la kusema unaanza kusema naingia msikitini kwa jina la cleopatra😂 unashindwa kusema ukweli kwakuwa upo dini fulani pole wee unaumaskin wa fikra jombi
Sasa spana imenipiga vipi mjomba mbona unamameno ya kishangingi😂 nenda basi kwenye nyumba za maaskofu na mapadre kisha unambie kunamwanafamilia gani wa kike utamkuta anashinda na mabaibui na mitandio nyumbani😂 kisha sina muda wa kubishana mwanaume mzima unashindana na mtoto wa kike unamapungufu ww kajichungulieHiyo Spana nimekupiga m,Acha udini na usijizungushe.Panua mawazo yako ya fikra usigawe watu kwa mavazi kama hawa wana haki miliki na Hilo ni vazi Lao.
Mheshimiwa Waziri Hongera sana sana, Mwenyezi Mungu akulinde na kukutia nguvu ili tuliokoe Taifa na watoto wetu kwa manufaa ya kizazi kijacho. Kuna mapendekezo mazuri naandaa nitakutumia ili endapi yatafanikiwa yatarahisisha kutoa suluhisho la kudumu kuhusiana na tatizo hili kubwa la mmomonyoko wa Maadili.BINTI ALIYEDAI ANAISHI NA NYOKA AJISALIMISHA KWA WAZIRI DKT. GWAJIMA
Aomba radhi, adai hajawahi kufanya hivyo alidanganya.
DAR ES SALAAM.
Itakumbukwa hivi karibuni ilienea video mitandaoni kupitia televisheni ya MBENGO TV ikionesha Binti mmoja aliyekuwa amebeba nyoka mkubwa huku akidai kwamba, hufanya naye mapenzi ili kupata fedha.
Kufuatia hali hiyo, Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu Mhe. Dkt. Gwajima , alichukua hatua ya kukemea kitendo hicho na kumtaka ajitokeze kuomba radhi kwa Umma na kuondoa taarifa hiyo mtandaoni kutokana na kukiuka maadili.
Baada ya mmiliki wa Mbengo TV, Tarzan Mustapha aliyeambatana na mtangazaji Lenny kuomba radhi Mei 11, 2024, walielekezwa kumtafuta binti huyo waliyemrekodi vinginevyo wachukuliwe hatua za kisheria kwa kukiuka sheria ya usajili wao kwa kushirikiana kupotosha jamii kwa habari za utapeli.
Leo 20 Mei, 2024 Binti huyo aitwaye Veronica Bernad Anton aliyekuwa amebeba nyoka huyo naye amejisalimisha kwa Waziri Dkt. Gwajima na kuomba radhi kama video inavyoonesha.
Waziri Dkt. Gwajima ameelekeza kutafutwa kwa mmiliki wa nyoka au ajitokeze mwenyewe kabla hatua za Serikali kumtafuta hazijaanza ambapo, itaongeza makosa yake ya kutotoa ushirikiano kwa Serikali.
Waziri Dkt. Gwajima ameiasa jamii ya wanahabari na wasanii kuachana na utapeli na mambo yote yanayochochea mmonyoko wa maadili maana akiwa Waziri mwenye dhamana na Jamii yenye makundi maalum hatafumbia macho uongo, utapeli na uovu huo.
MWISHO
NB; nawasihi wanajamii wote kuheshimu Sheria kwa maendeleo na ustawi wa jamii na kutunza maadili.
Pia soma: Epuka kusambaza maudhui yasiyo na maadili. Anayedai kumiliki nyoka na kushiriki naye tendo, ajisalimishe
View attachment 2995537
View attachment 2995538