Dkt. Gwajima: Tukatae utapeli, Binti aliyedai anaishi na nyoka akiri haikuwa kweli

Yule nyoka kwenye video alikuwa wa ukweli au photoshop? Mbona huyu dada hakuzungumzia alipompeleka huyo nyoka wake baada ya kuomba radhi?
 
Mama Gwajima Shkamoo...

Vipi lile jambo letu la ndoa za kikatoliki tunaomba kupewa kibali, nataka nifunge ndoa takatifu na Poor Brain kwenye kanisa la ST PETERS hapo dar mwezi ujao.

Natumai nitapata leseni kutoka ofisi yako yenye uzalendo mkubwa. Ahsante.

Ni mimi katika ujenzi wa Taifa, BICHWA KOMWE.

Cc: Lamomy cocastic
 
Kama utakuwa uliamini ile story ya nyoka,wewe ni mmoja wa Watanzania wanaochangia umasikini na unatakiwa ufe kwani hauna faida yoyote hapa duniani.
Tatizo siyo kuiamini, tatizo kubwa zaidi ni kule kuitazama na kuisikiliza kuongeza viewers.

Hata wewe ulishiriki kosa hilo, unatakiwa uwe umeuawa kwa kubutuliwa komwe lako.
 
Utapeli upo hadi makanisani hawaoni?
 
kuvaa hivyo ni uislam?.Hizi ndio akili tunazozisema kila siku.Kwanza jina au mavazi havina uhusiano na dini ya mtu.
Akili unazozisema kilasiku zinanini? Hebu nenda sehem inayoishi jamii ya waislam wengi ukaone mavazi yao mfano Saudiarabia, dubai, Iran na Zanzibar,tuu hapo katizame wanavyo vaa
 
Utapiga pigaje sasa, isije kuwa unaomba Dkt.Mheshimiwa, Eti Aombe ruhusa kwa papa wa italy eti halalishe ushuwaini wa matacooo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbonaa km unaogopaa sanaa? Mie nitaongea nae km kiongozi wa idara.
 
Wizooo naomba niwe MC Plz. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huko makanisani kumechafuka hatari kunashuhuda ambazo hata kuskia mbele yafamilia ni aibu kubwa mno kwani zinafedhehesha sana na ni aibu mno.
Hivi nilini majanga kama haya nayo yatafanyiwa kazi ipasavyo.
 
Wewe ndio acha udini tizama umekosa la kusema unaanza kusema naingia msikitini kwa jina la cleopatra😂 unashindwa kusema ukweli kwakuwa upo dini fulani pole wee unaumaskin wa fikra jombi
Hiyo Spana nimekupiga m,Acha udini na usijizungushe.Panua mawazo yako ya fikra usigawe watu kwa mavazi kama hawa wana haki miliki na Hilo ni vazi Lao.
 
Hiyo Spana nimekupiga m,Acha udini na usijizungushe.Panua mawazo yako ya fikra usigawe watu kwa mavazi kama hawa wana haki miliki na Hilo ni vazi Lao.
Sasa spana imenipiga vipi mjomba mbona unamameno ya kishangingi😂 nenda basi kwenye nyumba za maaskofu na mapadre kisha unambie kunamwanafamilia gani wa kike utamkuta anashinda na mabaibui na mitandio nyumbani😂 kisha sina muda wa kubishana mwanaume mzima unashindana na mtoto wa kike unamapungufu ww kajichungulie
 
Mheshimiwa Waziri Hongera sana sana, Mwenyezi Mungu akulinde na kukutia nguvu ili tuliokoe Taifa na watoto wetu kwa manufaa ya kizazi kijacho. Kuna mapendekezo mazuri naandaa nitakutumia ili endapi yatafanikiwa yatarahisisha kutoa suluhisho la kudumu kuhusiana na tatizo hili kubwa la mmomonyoko wa Maadili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…