Dkt. Harrison Mwakyembe ajilipua suala la Ushoga; Kukabidhi jina la Mwenyekiti wao kitaifa na mikoa kwa Serikali

Mwakyembee ndo ana majibu yoteee hadi katoa press, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
cocastic unasema mwakiembe ndio ana majibu yote, hamuoni kuwa anawaharibia mambo yenu anaposema anaujua mtandao wenu kuanzia ngazi ya juu mpaka chini, je siku akiwataja hamtaona kwamba anawadhalilisha au mtafurahia jamii kuwafahamu ?
 
Acha ujinga basi wewe, kama waliweza kutengeneza chakula ambacho kinafanya Me aote matiti, wanashindwa vipi kupandikiza virusi vya homone imbalance ili Me awe shoga?
 
Yote hayo lazima yafanywe na huyu huyu mtafiti wa ushoga unavyopandikizwa kwa wingi na hao Mabeberu au watafiti wengine wamekufa?

Bado Mashoga mnatapa tapa tu kumshambulia mtafiti bila ya kupangua hoja zake kiushahidi.
 
Utawajua tu kwa rangi zao
 
Huyo mzungu kafaulu pakubwa sana, hadi jf watu wanaharisha uharo ambao hata fb jukwaa lililoonekana kuwa la watoto hawawezi kutoa ushuzi unaotolewa na watu wanaojiita eti ma great thinker [emoji848][emoji848][emoji848]

Sent from my 2107113SG using JamiiForums mobile app
 
Kisu kwenye mfupa hicho [emoji847]
 
Kuu la Mashoga unaweweseka sana, unadhani Mashoga wa hapa wako huru kama huko kwenye nchi za kishetani wanapojitangaza dhahiri na kufunga ndoa?
 
Wewe ni shoga. Umekaza Misuli kumuongelea mtu badala ya kuogelea hoja alizo ongea. Pia ayo meneno yako ya mekaa KIMIPASHO MIPASHO Kitu ambacho kwa mwanaume ni ngumu kua na pigo izo
 
Mleta mada acha ushoga, one problem at a time.
 
Hakuna cha mzungu hapo, stori za kusadikika hizi.

Mchunguzi kavimbisha vitako vyake kama NUKTA FAKTI anajizungurusha kwenye screen anatuonesha jinsi mashoga "wanavyotengenzwa" kwa kutumia PAFYUMU.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] perfume?? Khaaaah
 
Sasa kama wanaume mmeamua kugeuzana mi nifanyeje mkuu? Mtajua wenyewe mi nafurahia tu show...ukisikia kuna ambao wanapenda kupigwa chabo nishtue nikawatizame.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…