johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Udaktari wa Heshima ni bora kuliko ule wa akina JafoWee mzee mgaya wa wapi Wewe!?
Wanyalukolo wamejaa MUCE na Duce wanapiga kitabu wewe unashabikia udaktari wa njaa!?
We jamaaa Wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udaktari wa Heshima ni bora kuliko ule wa akina JafoWee mzee mgaya wa wapi Wewe!?
Wanyalukolo wamejaa MUCE na Duce wanapiga kitabu wewe unashabikia udaktari wa njaa!?
We jamaaa Wewe!
Hata wale wa "ukiweka kwenye kekundu utaliwa huwa wana watu wao pembeni wanaocheza huo mchezo"Hakika Anastahili katika hili maana nimewahi kupendekeza kupitia jukwaa Hili kuwa Chuo kikuu Cha Dares Salaam kimpatie shahada ya udaktari wa Heshima kwa kazi kubwa aliyoifanya nchi yetu
Yale yale ya Mzee wa msoga,alipokalibia kwenye uchaguzi 2010!kila Kona amebqnwa na wagalatia wenye PHD za kisomi,akaona isiwe tabu,game likapangwa na yeye akapewa moja ya heshima!!Rais Samia amekabidhiwa shahada ya udaktari wa heshima kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam leo wakati wa mahafali ya 52 duru ya 5. UDSM imesema uongozi wa Rais Samia umeleta mageuzi ya kiuchumi na mengineyo, pia umeleta tumaini jipya.
Rais Samia amesemwa kuboresha elimu ikiwemo kujenga vyuo 25, kusaini na benki ya dunia mradi wenye thamani ya bililioni zaidi ya 900 wenye lengo la kuboresha elimu ya juu.
Ninayo furaha kubwa baada ya Rais samia kutunukiwa PhD ya heshima pale UDSM.
Sasa utakua ni mwendo wa hivi; Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania DR. SAMIA SULUHU
😋😋Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, sasa amekua ni university mate.
Boss ulisomea Cuba.We might be evolved, but deep down we are still animals - mr biggs
Kwanini?Boss ulisomea Cuba.
Kumbe JK Ndio katoa Hiyo PhD!!?Yale yale ya Mzee wa msoga,alipokalibia kwenye uchaguzi 2010!kila Kona amebqnwa na wagalatia wenye PHD za kisomi,akaona isiwe tabu,game likapangwa na yeye akapewa moja ya heshima!!
Watu wenye PHD za kisomo,huwa hawazitangazi!ni wachache sana wanajua kwamba William Ruto ,Rais wa Kenya,ana PHD!lakini ni mala chache sana kuona akiitwa kwa cheo hicho
Hicho kiingereza cha wanyama bossKwanini?
Nimeongea kwa mafumbo.Hicho kiingereza cha wanyama boss
SecondedWe might be evolved, but deep down we are still animals - mr biggs
'Hivi videgree vya heshima siku hizi havina hata mvuto , uzuri Ni kwamba havina mvuto wowote kwa watanzania
Kipindi Cha nyerere ukisikia mtu kapewa kila mtu anafatilia sio Tanzania hata afrika mzima inajiuliza huyu Ni Nani? Kwa Nini kapewa? Kafanya Nini? Yaani ilikuw bonge la heshima
Ila kipindi Cha kikwete , magufuri na Sasa watu wanaona hamna kitu, Ni udaktari wa heshima wa ccm tu, kusifu na kuabudu
CCM wameharibu Sana elimu yetu