Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hatimaye Mgao wa Maji na Umeme wazalisha PhD mpya , Hii Africa inatisha kwa Maajabu !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usseri ndio kwetu!Dr johnthebaptist bingwa mbobevu wa majungu na kuinanga CDM na wachaga wa Rombo,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hatimaye Mgao wa Maji na Umeme wazalisha PhD mpya , Hii Africa inatisha kwa Maajabu !
Yeah Harvard moja hiyo mkuu ✔️
Uchawi upoYeah Harvard moja hiyo mkuu [emoji3581]
1st born inabidi na sisi tugawane udaktari..Na yeye bila aibu ataona poa tu, tena atapendwa kuitwa Dr. Suluhu au Dr. Samia.
Alishawahi kupewa KenyaMwinyi hajawahi kupewa Udaktari?
Kwanza hata nikiupata udaktari wa kukaa darasani bado sitashobokea kuitwa Dr. Chige.... I'll make the public honor me with my work rather than my title!1st born inabidi na sisi tugawane udaktari..
Kasi ki kubwa.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Huu wa kupewa bure lengo lake ni show offKwanza hata nikiupata udaktari wa kukaa darasani bado sitashobokea kuitwa Dr. Chige.... I'll make the public honor me with my work rather than my title!
Upo hapo, First Born!!
HakikaHongera sana Mhe. Rais Dr. Samia Suluhu.
Hakika anastahili kabisa kwa kazi kubwa anayo anayo ifanya kwa nchi yetu.
Cc Saint Anne 🤣🤣🤣🤣Yeah Harvard moja hiyo mkuu ✔️
Nchi inajengwa.
Hivi hawa ADC anao wawili? Huyu wa leo (aliyepiga saluti) siyo yule ambaye huwa tunamuona siku zoteNinayo furaha kubwa baada ya Rais samia kutunukiwa PhD ya heshima pale UDSM.
View attachment 2431589
Sasa utakua ni mwendo wa hivi; Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania DR. SAMIA SULUHU
😋😋Rais DR. Samia Suluhu, sasa amekua ni university mate.
Tutulie sasa kwa muda. 😋