Dkt. Jakaya Kikwete amtunuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima UDSM. Sasa ni Dkt. Samia

Dkt. Jakaya Kikwete amtunuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima UDSM. Sasa ni Dkt. Samia

Sasa inakuaje mwenye PhD ya kupewa naye anampa mwenzake.Wenye zao za halali wametulia tu
 

Rais Samia amekabidhiwa shahada ya udaktari wa heshima kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam leo wakati wa mahafali ya 52 duru ya 5. UDSM imesema uongozi wa Rais Samia umeleta mageuzi ya kiuchumi na mengineyo, pia umeleta tumaini jipya.

Rais Samia amesemwa kuboresha elimu ikiwemo kujenga vyuo 25, kusaini na benki ya dunia mradi wenye thamani ya bililioni zaidi ya 900 wenye lengo la kuboresha elimu ya juu.

Rais Samia amemshukuru Dkt. Kikwete na baraza la seneti la chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa kumpendekeza kupata tuzo hiyo na aliikubali kwa sababu siyo ya kwake pekee bali watanzania.

Rais Samia alisema alijaribu kutafuta shahada hiyo lakini muda haukumpa nafasi

Pia, soma=> Chuo kikuu Cha Dar es salaam kimpe Rais Samia Udaktari wa Heshima katika uongozi na mahusiano ya kimataifa
Rais Samia Suluhu amestahili stashada hii
 
Hakika Anastahili katika hili maana nimewahi kupendekeza kupitia jukwaa Hili kuwa Chuo kikuu Cha Dares Salaam kimpatie shahada ya udaktari wa Heshima kwa kazi kubwa aliyoifanya nchi yetu
Kwa hiyo ukipendekeza ndo jambo jema? Ni uchafu tu na hongo za teuzi. Anayetaka PhD, ajisajili aingie darasani! PhD ni kichwani siyo kupewa na ukaamini.

Hii siyo UDSM iliyosiofika miaka ya 70 na kuwa ni mfano wa watu wenye fikra. Enzi hizi hata VC ni mtu anayepigania wanawake mitaani tu!
 
Yes. Naye kapewa na chuo kimoha huko India. Waonaambiwa alimradi uwe na pesa.
😁
Dr Musukuma(PhD)
Watu wamesoma Kwa jasho na muda ila PhD hawana,anazawadiwa PhD std 7.
 
kwakweli ni mpambanaji bila kutoa order apewe sasa hivi angeishia kuisoma kwenye daftari,umejiwahi
 

Rais Samia amekabidhiwa shahada ya udaktari wa heshima kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam leo wakati wa mahafali ya 52 duru ya 5. UDSM imesema uongozi wa Rais Samia umeleta mageuzi ya kiuchumi na mengineyo, pia umeleta tumaini jipya.

Rais Samia amesemwa kuboresha elimu ikiwemo kujenga vyuo 25, kusaini na benki ya dunia mradi wenye thamani ya bililioni zaidi ya 900 wenye lengo la kuboresha elimu ya juu.

Rais Samia amemshukuru Dkt. Kikwete na baraza la seneti la chuo kikuu cha Dar es Salaam kwa kumpendekeza kupata tuzo hiyo na aliikubali kwa sababu siyo ya kwake pekee bali watanzania.

Rais Samia alisema alijaribu kutafuta shahada hiyo lakini muda haukumpa nafasi

Pia, soma=> Chuo kikuu Cha Dar es salaam kimpe Rais Samia Udaktari wa Heshima katika uongozi na mahusiano ya kimataifa
Kumbe walikuwa wanamtamani sana Dk JPM?
Wangesubiri angalau hiki kipindi cha mpito kipite, wangempa kwenye ile 'mitano tena'😃😃🙌
 
PhD ya Utu na Ubinadamu wakati Wanasiasa wengi wako Jela, Wapinzani wanadhibitiwa, Watu wanakufa, Hali ya Maisha ni Mbaya, Police kutwa Wanabambika Kesi Raia na hapo hapo Chuo Kikuu kilichotoa hiyo Honourable Doctorate Wanafunzi wananyanyasika, Mikopo hawapati na Elimu waipatayo ni ya kuwafanya wawe Waoga wa Kujitambua na Wavivu Kifikra?

Halafu GENTAMYCINE nikiwa nawadharau na Kuwaambieni kuwa hamna Akili mnakataa na Kunichukia.

Haya nawaombenj sasa mjipange na mniandalie GENTAMYCINE Honourable Doctorate ( PhD ) yangu ya kuwa Mtanzania na mwana JamiiForums mwenye Maono, Akili, Mvuto, Uwasilishaji wa Kutukuka wa Masuala Mtambuka na Ushawishi mkubwa wa Kifikra na Kitaaluma na nitaomba Mgeni wa Kunitunuku awe ni 'Genius' Mwenzangu tu Rais wa Rwanda Paul Kagame sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Za kupewa bure huwa zina amsha fulani
Hadi akina Musukuma wanasema Bashiru ana PhD kama ya kwake[emoji1787]

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Watu wanazipenda PhD ila hawataki kuzisotea.

Kama mtu anataka kuwa Dr. kwa nini asirudi shule aisotee badala ya kutumia cheo au kununua.

Msukuma kupata PhD darasani a ahitaji kukaa shule miaka miaka 13. Sasa leo kupewa bila kuzitolea jasho ni pathetic. Halafu inaonekana kabisa kuwa watu wamekubali kuwa Msukuma ni Dr..... Seriously!!
 
Dr. Ngongo ambaye ni Dr wa PhD ingawa ana Diploma ya kucheza ngoma kutoka chuo chetu pendwa cha Bwagamoyo anampongeza sana Rais Samia kwa kutunukiwa PhD.

Dr Ngongo anasisitiza na kuvitaka vyombo vyote vya habari ndani na nje kila watakapo mtaja Rais wetu mpendwa na mtukufu kuanza na neno Dr Samia Suluhu Hassan.
Chombo chochote kitakacho shindwa kuanza na neno Dr kitastahili kufungiwa na vile nje vitasusiwa mara moja.

Ngongo kwasasa viunga vya UDSM.
 
Watu wanazipenda PhD ila hawataki kuzisotea.

Kama mtu anataka kuwa Dr. kwa nini asirudi shule aisotee badala ya kutumia cheo au kununua.

Msukuma kupata PhD darasani a ahitaji kukaa shule miaka miaka 13. Sasa leo kupewa bila kuzitolea jasho ni pathetic. Halafu inaonekana kabisa kuwa watu wamekubali kuwa Msukuma ni Dr..... Seriously!!
Kusoma tena wakati za bure zipo wee! Kuna mtu nilikuwa namuona anavyohangaika alipomaliza nilimpongeza sana.
 
Watu wanazipenda PhD ila hawataki kuzisotea.

Kama mtu anataka kuwa Dr. kwa nini asirudi shule aisotee badala ya kutumia cheo au kununua.

Msukuma kupata PhD darasani a ahitaji kukaa shule miaka miaka 13. Sasa leo kupewa bila kuzitolea jasho ni pathetic. Halafu inaonekana kabisa kuwa watu wamekubali kuwa Msukuma ni Dr..... Seriously!!
PhD za Shuleni zimebaki kwa wanasayansi tu

Huku kwingine hakuna jipya kila Kitu marudio!
 
Back
Top Bottom