Dkt. Jakaya Kikwete amtunuku Rais Samia Shahada ya Udaktari wa Heshima UDSM. Sasa ni Dkt. Samia

Yale yale ya Mzee wa msoga,alipokalibia kwenye uchaguzi 2010!kila Kona amebqnwa na wagalatia wenye PHD za kisomi,akaona isiwe tabu,game likapangwa na yeye akapewa moja ya heshima!!
Watu wenye PHD za kisomo,huwa hawazitangazi!ni wachache sana wanajua kwamba William Ruto ,Rais wa Kenya,ana PHD!lakini ni mala chache sana kuona akiitwa kwa cheo hicho
 
Kumbe JK Ndio katoa Hiyo PhD!!?

Huyo ni msanii! Anamjibu Dr. BASHIRU Ally kiaina!!

Sisi tumemwelewa!
 
'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…