Umeona sasa kasheshe hiyo?Wasira aeanza kua mkuu wa mkoa wa Mara mwaka 1971, leo ni miaka 53 bado ni mtumishi wa umma.
Biteko afukuzwe mpk uraia, ni mtusi wa Rwanda huyu.Ina maana Biteko hamuoni kama kapwaya?
Sawaaah viwanja vya chanika naona jau, mie siye mnywaji na hawana misosi pale
Tatizo la nchi yetu wanasiasa ni vigumu kufanya mambo mengine nje ya siasa.Yani hapo ndio nashindwa kuelewa kwanini kwenye nchi yenye population ya watu zaidi ya milion 60
Linapokuja swala la teuzi wanaopewa nafasi ni walewale ambao tayari wapo kwenye vitengo vingine
Utaskia Steven wasila kateuliwa kuwa mkuu wa idara fulani. Huyu jamaa tangu kipindi cha Nyerere anateuliwaga tu.
Hii nchi hii we acha tu
Mwingine MkuchikaWasira aeanza kua mkuu wa mkoa wa Mara mwaka 1971, leo ni miaka 53 bado ni mtumishi wa umma.
Ahahahahaha! Ila haushangai kwa Chadema kubaki na Mwenyekiti Taifa miaka yote tangu 2002! Ahahahahaha! Na nasikia mmeanzisha mpango wa kutengeneza sanamu lake kwamba hata Mungu akimpenda zaidi, basi sanamu lake libaki kama Mwenyekiti Taifa wa Chadema! Ahahahahaha!!!Yaani Wanazungushwa wale wale walioshindwa
Na nyie Chadema Mwenyekiti mbona ni yule yule tangu 2002Yaani Wanazungushwa wale wale walioshindwa
Hamuoni yeye anaona kukwatwa umeme fresh TU yaan TANESCO wakikata umeme wiki 1 mfululizo asubuhi mchana na usiku bila kuwasha mwanga km wanavyofanyaga DAWASA kukata maji hata wiki 3 mpaka Mwezi watu wanaishi bila maji hapo ndio wataelewa watanzania ni watu wa aina gani, tutaenda kuwachomoa kwenye Ofisi zao mmoja mmojwan
Ss kama n mvurigaj y asitolewe kbsa... Yaan they want to eat bread wenyewe tu na sio kuweka wengne wapya waone mabadiliko.. naamin Kuna members wengine ambao hawajapata nafas ya kutumikia nchi lkn wakipewa chance watafanya mabadiliko bt hawataki... Au they think kuleta member mpya ita-release issues zao za under capertAlitolewa ukurugenzi TPDC akawekwa pembeni kupangiwa kazi nyingine miezi kadhaa iliyopita...
Nje ya madaAhahahahaha! Ila haushangai kwa Chadema kubaki na Mwenyekiti Taifa miaka yote tangu 2002! Ahahahahaha! Na nasikia mmeanzisha mpango wa kutengeneza sanamu lake kwamba hata Mungu akimpenda zaidi, basi sanamu lake libaki kama Mwenyekiti Taifa wa Chadema! Ahahahahaha!!!
Mbutuka amebutuka baada ya kubutuliwaView attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Hayo ndo majibu ya Mama Kizimkazi dhidi ya uhaba wa umeme?View attachment 2911327
UTEUZI: Rais Samia Sululu Hassan, amemteua Dkt. James P. Mataragio, kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini
Dkt. Mataragio anachukua nafasi ya Athumani Selemani Mbuttuka ambaye Uteuzi wake Umetenguliwa na atapangiwa kazi nyingine
Kabla ya Uteuzi huu, Dkt. Mataragio aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
Ss akiingia huy mwngne ndio umeme hautakatka?Hayo ndo majibu ya Mama Kizimkazi dhidi ya uhaba wa umeme?
Aisee
mbuni kafunika kichwa kwenye udongo kukwepa hatariSs akiingia huy mwngne ndio umeme hautakatka?
Anastahili kustaafu bwana tangu nimemsikia mimi nikiwa kijana mpaka nimezeeka jamaa yumo tu! Mh. Rais sasa ni zamu yangu uniteue sasa na mimi nile mema ya nchi hapo kwa muda mfupi!Kwa wanaomfahamu Dr. Mataragio watakubaliana nami kwamba ataitendea haki nafasi hiyo kutokana na ujuzi alionao katika sekta ya nishati. Kila la kheri Dr.
Yaani hata baada ya kusoma kuwa Hayat ndie aliemrudisha baada ya kusoteshwa na Bodi-Yeye bado kang'ang'ania 'oh Magufuli!'Yaani nyie wajaa laana kila kitu kumtwisha Magufuli
Mwingine nani acheni utetezi wa kijinga enzi zile za mkono wa Chuma TANESCO walikua tumbo joto hawakua wakikata umeme hata KIDOGO hadi tukasahau suala la umeme kukatika yaan hawa wanahitaji mtu mwenye karba hio mtu wa kuwaendesha kibabe kibabe tu undava undava ukizingua unapigwa chini ndio wananyooka ukiondoa wa kwanza akiingia mwingine akazingua ukimuondoa akiingia mwingine akazingua ukimuondoa kuna mmoja ukimweka lazima atagundua wapi kuna tobo na kuliziba mara moja Ila hawa wahuni wame-relax kuna tobo alafu wame-relax tu hawalizibi sababu wanajua hawana mtu wa kuwatia tumbo jotoSs akiingia huy mwngne ndio umeme hautakatka?