Dkt. James Mataragio ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati

Wasira aeanza kua mkuu wa mkoa wa Mara mwaka 1971, leo ni miaka 53 bado ni mtumishi wa umma.
"Mwalimu akang,,
Anastahili kustaafu bwana tangu nimemsikia mimi nikiwa kijana mpaka nimezeeka jamaa yumo tu! Mh. Rais sasa ni zamu yangu uniteue sasa na mimi nile mema ya nchi hapo kwa muda mfupi!
Unashangaa ya Dr. Mteuliwa, ukiyasikia ya Mzee wa Makoti waweza kuzimia!
 
Huyu alikuwa kichwa cha Bell Geospace.

Tanzania tungeheshimu na kuthamini taaluma na uweledi wa watu wetu na kuwatumia sio kisiasa, tungepiga hatua sana.
 
Huo ndo ukweli. Mataragio alitumbuliwa miezi michhe tu baada ya JPM kuingia madarakani. Baadae nadhani JPM akafahamu kwamba yalikuwa majungu tu ndipo akamrudisha tena TPDC
Uzuriwa magufuri akigundua umeonewa anakurudisha Tena kwa lazima
 
Daaaah kwake KIZIMKAZI anaona kafanya bonge moja la KAZI.
Akuna
1.Maji Kwa DAR
2.Sukari
3.Umeme.

Anacho weza yy pale magogoni ndio icho tu.

Kutengua na kuteua
Kwanj asimfukuze wazir wa kilimo na wiwanda kwa kushindwa kufanya kazi yao ipasayo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni mmoja wa wasukuma wasomi snaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mtu anashindwa hapa anapelekwa pale hivi hii serikali hakuna watu wengine wa kufanya hizo kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…