Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

Uchaguzi 2020 Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM

Rais John Pombe Magufuli leo karejesha form ili kuwania ungwe ya dakika 45 za pili kukamilisha dakika 90 za awamu ya 5 ambayo ni miaka 10. Leo naomba kuwananga vijana hasa UVCCM ili muoni nini mnaweza kufanya dakika 45 zilizosalia. Naandika haya nikiwa na hakika mgombea wenu ana nafasi kubwa sana ya kupata uteuzi wa CCM na kupigiwa kura October mwaka huu.

Magufuli Rais wangu nakusifu sana sio kama wale wengine wanaoitwa “Paise Team” ila kwa kuwa umekuwa na upekee kuiona nchi hii ni tajiri na umekuwa ukijangamba kwa nguvu kwenye hili huku ukitekeleza mengi kwa ilani ya CCM na kufanya yale yalio kwenye mpango wa taifa ili kuifikia Tanzania Dev. Vision 2025.

Pamoja na mengi yanayofanyika serikalini baada ya kuja na kauli mbiu ya kuijenga Tanzania na kukuza uchumi wake kwa kutumia viwanda, nadhani ndani ya chama chako CCM kuna watu wanakosa msaada kwa wana CCM na Watanzania as a whole; hapa ntawagusa vijana maana wana nguvu ya kifikra na ilitakiwa moja ya fikra iwe kufikiria na kutekeleza kwa vitendo kwa walau kuwa na model factory inayomilikiwa na vijana hata kama hawausiki moja kwa moja na management ya daily operations. Ntafanua na kuja na mifano rahisi.

Mmoja wa wahusika kwenye changamoto hii ni pamoja na Dr. Frank Haule ambae ni Mkuu wa Idara ya Uchumi ya CCM.

Nadhani wengi tunakumbuka kuwa Mwl. Nyerere ameiachia CCM assets nyingi sana ikiwemo majengo na viwanja maeneo mengi na sehemu za kimkakati kabisa kama Lumumba Dar au Mwanza na miji mingine. Mpaka sasa majengo yamekuwa ni asset kwa kupangisha na hivyo kuingiza fedha kwenye kapu kuu pia kutoa ajira. Majengo ni service sector. Nataka niwafikirishe kwenda kwenye manufacturing sector.

Kwa kuwa vijana wa CCM mna bahati ya kuwa na Mkiti wa CCM ndg. Magufuli ambae ana sifa kubwa ya kudiriki na kutekeleza makubwa, nadhani ilitakiwa vijana ndani ya chama toka JPM ameingia madarakani walau wangekuwa wamejenga hata kiwanda kimoja. Say, kiwanda cha kuchambua pamba na kutengeneza vitambaa vya kijani/njano au vitenge kwa soko la CCM kwa kuwanzia. Kwakuwa chama kina wanachama zaidi la milioni 6, maana yake kiwanda kikitengeneza skafu, vitambaa vya leso, bendera kubwa, bendera za mezani, vitenge/ batiki kama uniform ya mwenge kila mwaka, vitambaa vyeusi kwa ajili ya suruali au sketi; hizi fedha za kuagiza kila siku india basi CCM kama taasisi ifanye vitu kwa ubora ili kutengeneza ajira kwa wana CCM ambao watapata ajira viwandani au mtanzania yeyote.

Kampeni za mwaka huu, ingenogeshwa kwa vitambaa vya mapambo na hiena hiena zote zikiwa ni made in Tanzania kupitia industries owned by CCM hususan wing ya vijana.

Kwanini chini ya UVCCM kusianzishwe kurugenzi maalumu ya kukuza uchumi na biashara kwa kutumia viwanda vya kimkakati ambavyo soko lake hata likilenga wana CCM kwa kuanzia kama mtaji. Mpaka lini kwenye kampeni ndio Tshirts za skafu za wabunge zinatoka CHINA; hapa nawashaurini mfanye namna mdake fursa ungwe ya 2020-25

Najinasibu na kujivunia Tanzania yangu kwa maana naona JPM anaota ndoto kubwa sana, ila anakosa wasaidizi ikiwamo kwenye level ya chama kutafsiri ndoto kwa picha kutengeneza bidhaa ambazo CCM kama taasisi na watu wake wanaweza kuwa consumers.

Cha msingi kuwa na nidhamu kwa kuwa na menejimenti mahiri ili uendeshaji wa kiwanda usifanyike kisiasa na malipo yafanyike kwa kila bidhaa itakayonunuliwa kiwandani kwa mahitaji ya bendera, vitambaa, vitenge, batiki nk.

China kwanini hanunui bendera zake Marekani; China kwanini hanunui sare za watu wake marekani au India?

Sina maana kuwakosea heshima wenye chama chenu, ila niko hapa kuwapa kufikiri sana kwa manufaa ya kumfagilia Mkulu ila wakati huo huo, namna gani kudaka kwa vitendo ndoto ya kujenga kiwanda ambacho vitambaa vya aina mbalimbali vutakavyozalishwa hapo kwa ubora wa soko, vitaweza kuwashawishi mafundi cherehani wawe na chama au hawana chama kununua kwenu.

Hili likifanyika, litaongeza mzunguko wa fedha kwa kupunguza imports za vitambaa toka China/India au kokote kule ambako kila mwaka tuna-agiza. Sio ufahari kuagiza kila mwaka vitu ambavyo malighafi pamba ipo na soko la wanaovaa nguo wapo.

Mkiona mnakosa watu wenye DNA ya kufikiri hivyo ndani ya CCM, maana yake watafutwe ndani ya Tanzania, wakikosekana basi hata nje ya nchi tuwalete ili kujenga uchumi jumuishi.

Nimetoa mfano wa textile industry, linaweza lisiwe wazo feasible kwenu, ila kwanini msifikiri kwenye sekta zingine ambazo soko lake lipo. Mfani mwingine, sukari ya matumizi ya nyumbani na viwanda kila mwaka tuna import zaidi ya tani 50,000.

Kama jengo la vijana ambalo Nyerere kaliacha lina function kuingiza fedha mpaka sasa, kwanini basi lisitafutwe wazo hata la kiwanda cha kutengeneza soft brooms na hard brooms, na moppers kwa ajili ya matumizi ya maofisi na majumbani na kuacha kununua mifagio na moppers made and imported from China.

Ni wazo tu kwenu wakubwa, mnapojenga miundombinu ya uchumi mkubwa kama SGR na Nyerere Hydro Electric Power Dam, pia hata huu uchumi mdogo mdogo wa mifagio ya maofisini ikiwa made in Tanzania kuna fedha si haba zitaingia kwenye mifuko, mabenki, mobile money na kote huko kuna deductions serikali inapata in the course of spending.

Shalom.
 
Rais Magufuli ni mbeba maono

Kwa jinsi uchumi wa Tanzania unavyokuwa kwa kasi hadi 2025 tutakuwa tumeipiku south Africa
 
Rais John Pombe Magufuli leo karejesha form ili kuwania ungwe ya dakika 45 za pili kukamilisha dakika 90 za awamu ya 5 ambayo ni miaka 10. Leo naomba kuwananga vijana hasa UVCCM ili muoni nini mnaweza kufanya dakika 45 zilizosalia. Naandika haya nikiwa na hakika mgombea wenu ana nafasi kubwa sana ya kupata uteuzi wa CCM na kupigiwa kura October mwaka huu.

Magufuli Rais wangu nakusifu sana sio kama wale wengine wanaoitwa “Paise Team” ila kwa kuwa umekuwa na upekee kuiona nchi hii ni tajiri na umekuwa ukijangamba kwa nguvu kwenye hili huku ukitekeleza mengi kwa ilani ya CCM na kufanya yale yalio kwenye mpango wa taifa ili kuifikia Tanzania Dev. Vision 2025.

Pamoja na mengi yanayofanyika serikalini baada ya kuja na kauli mbiu ya kuijenga Tanzania na kukuza uchumi wake kwa kutumia viwanda, nadhani ndani ya chama chako CCM kuna watu wanakosa msaada kwa wana CCM na Watanzania as a whole; hapa ntawagusa vijana maana wana nguvu ya kifikra na ilitakiwa moja ya fikra iwe kufikiria na kutekeleza kwa vitendo kwa walau kuwa na model factory inayomilikiwa na vijana hata kama hawausiki moja kwa moja na management ya daily operations. Ntafanua na kuja na mifano rahisi.

Mmoja wa wahusika kwenye changamoto hii ni pamoja na Dr. Frank Haule ambae ni Mkuu wa Idara ya Uchumi ya CCM.

Nadhani wengi tunakumbuka kuwa Mwl. Nyerere ameiachia CCM assets nyingi sana ikiwemo majengo na viwanja maeneo mengi na sehemu za kimkakati kabisa kama Lumumba Dar au Mwanza na miji mingine. Mpaka sasa majengo yamekuwa ni asset kwa kupangisha na hivyo kuingiza fedha kwenye kapu kuu pia kutoa ajira. Majengo ni service sector. Nataka niwafikirishe kwenda kwenye manufacturing sector.

Kwa kuwa vijana wa CCM mna bahati ya kuwa na Mkiti wa CCM ndg. Magufuli ambae ana sifa kubwa ya kudiriki na kutekeleza makubwa, nadhani ilitakiwa vijana ndani ya chama toka JPM ameingia madarakani walau wangekuwa wamejenga hata kiwanda kimoja. Say, kiwanda cha kuchambua pamba na kutengeneza vitambaa vya kijani/njano au vitenge kwa soko la CCM kwa kuwanzia. Kwakuwa chama kina wanachama zaidi la milioni 6, maana yake kiwanda kikitengeneza skafu, vitambaa vya leso, bendera kubwa, bendera za mezani, vitenge/ batiki kama uniform ya mwenge kila mwaka, vitambaa vyeusi kwa ajili ya suruali au sketi; hizi fedha za kuagiza kila siku india basi CCM kama taasisi ifanye vitu kwa ubora ili kutengeneza ajira kwa wana CCM ambao watapata ajira viwandani au mtanzania yeyote.

Kampeni za mwaka huu, ingenogeshwa kwa vitambaa vya mapambo na hiena hiena zote zikiwa ni made in Tanzania kupitia industries owned by CCM hususan wing ya vijana.

Kwanini chini ya UVCCM kusianzishwe kurugenzi maalumu ya kukuza uchumi na biashara kwa kutumia viwanda vya kimkakati ambavyo soko lake hata likilenga wana CCM kwa kuanzia kama mtaji. Mpaka lini kwenye kampeni ndio Tshirts za skafu za wabunge zinatoka CHINA; hapa nawashaurini mfanye namna mdake fursa ungwe ya 2020-25

Najinasibu na kujivunia Tanzania yangu kwa maana naona JPM anaota ndoto kubwa sana, ila anakosa wasaidizi ikiwamo kwenye level ya chama kutafsiri ndoto kwa picha kutengeneza bidhaa ambazo CCM kama taasisi na watu wake wanaweza kuwa consumers.

Cha msingi kuwa na nidhamu kwa kuwa na menejimenti mahiri ili uendeshaji wa kiwanda usifanyike kisiasa na malipo yafanyike kwa kila bidhaa itakayonunuliwa kiwandani kwa mahitaji ya bendera, vitambaa, vitenge, batiki nk.

China kwanini hanunui bendera zake Marekani; China kwanini hanunui sare za watu wake marekani au India?

Sina maana kuwakosea heshima wenye chama chenu, ila niko hapa kuwapa kufikiri sana kwa manufaa ya kumfagilia Mkulu ila wakati huo huo, namna gani kudaka kwa vitendo ndoto ya kujenga kiwanda ambacho vitambaa vya aina mbalimbali vutakavyozalishwa hapo kwa ubora wa soko, vitaweza kuwashawishi mafundi cherehani wawe na chama au hawana chama kununua kwenu.

Hili likifanyika, litaongeza mzunguko wa fedha kwa kupunguza imports za vitambaa toka China/India au kokote kule ambako kila mwaka tuna-agiza. Sio ufahari kuagiza kila mwaka vitu ambavyo malighafi pamba ipo na soko la wanaovaa nguo wapo.

Mkiona mnakosa watu wenye DNA ya kufikiri hivyo ndani ya CCM, maana yake watafutwe ndani ya Tanzania, wakikosekana basi hata nje ya nchi tuwalete ili kujenga uchumi jumuishi.

Nimetoa mfano wa textile industry, linaweza lisiwe wazo feasible kwenu, ila kwanini msifikiri kwenye sekta zingine ambazo soko lake lipo. Mfani mwingine, sukari ya matumizi ya nyumbani na viwanda kila mwaka tuna import zaidi ya tani 50,000.

Kama jengo la vijana ambalo Nyerere kaliacha lina function kuingiza fedha mpaka sasa, kwanini basi lisitafutwe wazo hata la kiwanda cha kutengeneza soft brooms na hard brooms, na moppers kwa ajili ya matumizi ya maofisi na majumbani na kuacha kununua mifagio na moppers made and imported from China.

Ni wazo tu kwenu wakubwa, mnapojenga miundombinu ya uchumi mkubwa kama SGR na Nyerere Hydro Electric Power Dam, pia hata huu uchumi mdogo mdogo wa mifagio ya maofisini ikiwa made in Tanzania kuna fedha si haba zitaingia kwenye mifuko, mabenki, mobile money na kote huko kuna deductions serikali inapata in the course of spending.

Shalom.
Hatutaki udikteta wa mtu mmoja kuamua kuhodhi chama na kulazimisha kuabudiwa. Demokrasia imekosekana na ndio tatizo la nchi hii. Tuirudishe nchi kwenye njia yake.
 
Jee mlidhani haitarudishwa? Maana Leo Dodoma hata kazi hazifanyiki, sio wanaccm wala wana habari imekuwa ni pilika pilika utadhani ni tukio la ajabu kutokea!
Fomu yenyewe mmechapisha moja, mkawatisha na wengine kuhusu kuchukua kisha mkaja na hesabu za kubumba kuhusu udhamini. Yote hayo nyie tuu.
Kwani kama udhamini unahitaji watu 250 kwenye mkoa kuna sababu gani kuwaacha watu waendelee kujaza majina eti mpaka 5000 yasiyo na sababu kama sio fix ni nini?
Mbona mnahangaika sana kutafuta sifa za ubora kwa nguvu namna hiyo?
Jee hizo sio dalili za kukosa kujiamini kwamba hamna uhakika na jamii inamchukuliaje mtu wenu?
Kampeni zenyewe mmezianza hata kabla ya wakati lakini bado WOGA umewajaa!
Mikikimikiki ya kampeni mtaiweza kweli au pumzi itakata na ndio mabavu yataanza kutumika?
 
Hawa jamaa mapimbi kweli , wacha waendelee kuwadanganya wajinga tu
 
Hivi mkutano km ule wapinzani pia wanaweza kuufanya. Maana karibu representative kutoka mikoa yote wako pale.
Wakati juzi kati niliona Zitto akikamatwa.
Mimi siko upande wowote nauliza from neural perspective.
 
"Muhimu ni tushike dola kwanza"
Dkt. Magufuli ambaye ndiye Rais wa Tanzania leo atarudisha fomu ya maombi ya kugombea urais kupitia CCM kwenye makao makuu ya chama jijini Dodoma.
===

Updates:
Rais Magufuli anarudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais wa Tanzania kupitia CCM kwenye Makao Makuu ya chama, Dodoma. Hadi sasa ni Mwanachama pekee wa CCM aliyechukua fomu hiyo.

Katibu Mkuu CCM, Dkt. Bashiru Ally anasema "Hii ni hafla yako wewe mwenyewe (Rais Magufuli) kukabidhi fomu kwa mujibu wa kanuni. Nikupe taarifa fupi tu, wiki iliyopita tulikuwa na semina ya mashauriano na Wenyeviti wote wa CCM Mikoa yote 32 wakiongozana na wenyekiti wa jumuiya ya chama"

Aidha Dkt Bashiru ameeleza ulipochukua fomu walikuwa katika wakati mgumu sana kwa sababu wanachama wote katika Mikoa yao walitaka kukudhamini, kwahiyo wameratibu zoezi hilo. Mimi nimefanya kazi ya kubeba masanduku ya fomu na nyingine ziko nje haziwezi kuenea humu ndani.

Jumla ya wanachama 44, 415 wa Mkoa wa Dodoma wamemdhamini Mwenyekiti wa CCM, John Magufuli kuwania Urais kupitia CCM.

Pia, jumla ya wanachama 71,491 kutoka Mkoa wa Dar es salaam wamemdhamini katika fomu za kuwania Urais wa Tanzania.

Katika Mkoa wa Mjini watu 2,394 pekee waliruhusiwa kumdhamini Rais Magufuli.

Kwa Geita, jumla ya wanachama 89,595 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kuomba kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania kupitia chama hicho.

Mkoani Mara wanachama 87,550 wamejitokeza kumdhamini Rais Magufuli huku Morogoro wakijitokeza wanachama 117,450

Mpaka sasa, Wenyekiti CCM wa mikoa mbalimbali wanaendelea kuzungumza na kueleza idadi ya Watu waliomdhamini Rais Magufuli katika mikoa yao.

Mkoa wa Morogoro jumla ya Wanachama 117,450 wamejitokeza kwa ajili ya kumdhamini Rais Magufuli.

Mkoa wa Mtwara jumla ya Wanachama 7,596 wamejitokeza kumdhamini Rais Magufuli.

Mkoa wa Njombe jumla ya wanachama 17,810 wa CCM wamejitokeza kumdhamini Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Pwani jumla ya Wanachama 20,603 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea tena Urais.

Mkoa wa Rukwa jumla ya Wanachama 5,600 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Ruvuma jumla ya Wanachama 56,350 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Shinyanga jumla ya Wanachama 12,000 wa CCM wamedhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Singida jumla ya Wanachama 13,452 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Simiyu jumla ya Wanachama 3,693 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Songwe jumla ya Wanachama 11,744 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Tabora jumla ya Wanachama 29,486 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Mkoa wa Tanga jumla ya Wanachama 62,839 wa CCM wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais.

Aidha, kwa upande wa jumuiya ya Wanawake (UWT) jumla ya wanawake 66,633 Tanzania wamemdhamini Rais Magufuli kugombea Urais. Katika idadi hiyo mikoa iliyoongoza ni Dodoma ambapo wamejitokeza Wanawake 11,241 Tanga Wanawake 10171 na Kigoma Wanawake 6,083.

Hivyo, katika udhamini huo jumla ya Wanachama 646,956 katika mikoa yote 32 na jumuiya zake wamejitokeza kumdhamini Rais Magufuli kugombea Urais kwa awamu ya pili.

Katibu Mkuu wa Chama, Dkt Bashiru ameeleza kuwa katika zoezi zima la kutafuta Wadhamini jumla ya Wadhamini wote milioni moja na elfu ishirini na tatu laki moja na kumi na moja.

Baada ya zoezi la kutaja idadi ya wadhamini waliohusika katika zoezi hilo, zoezi linalofuata ni Rais Magufuli kukabidhi fomu kwa ajili ya kuzisaini.

Hotuba ya Rais Magufuli
Amewashukuru Viongozi wote waliojitokeza katika tukio hili sambamba na kuwashukuru Wanachama wote waliojitokeza na kumdhamini Tanzania bara na Visiwani.

Aidha, Rais Magufuli ameeleza kuwa ameirudisha fomu hii kwa kutambua kwamba yeye ni Mtumishi wa Watanzania na ameirudisha akiwa anaamini kwamba bado wanamhitaji atumike.

Zaidi ya hayo, Rais Magufuli amebainisha kuwa bado kuna changamoto nyingi katika taifa letu, katika kipindi cha miaka mitano walijiwekea mipango mbalimbali ambayo mingi katika hiyo waliitekeleza lakini wamegundua kuna mipango mingi inatakiwa itekelezwe na kuna ambayo imetekelzwa lakini haijakamilika.

Vilevile, Rais Magufuli amesisitiza kutokana na kutokamilika kwa baadhi ya mipango waliianzisha ndiko kulichomsukuma Rais kuchukua fomu tena kwani anaamini kuwa walioianzisha mipango hiyo ndio wanaoweza kutekeleza.

Pia amesisitiza kuwa watu wataotokeza kugo wafanye kazi kistaarabu na watangulize maslahi ya Tanzania. Hivyo kipindi hiki cha uchaguzi Wagombea wasikitumie katika kukibomoa Chama cha Mapinduzi.

Katika kufafanua suala hili la kukibomoa Chama Rais Magufuli amesema "Nimeshaanza kuiona dalili hii Zanzibar Wagombea wameshafika 33, wengine wanatumia mitandao wanamsema mwenzao, wengine kwenye magazeti lakini atakayechaguliwa ni mmoja tu na Mungu wetu wa Mbinguni anamfahamu sisi tulikuwa 42."

Hivyo, Rais Magufuli amesisitiza Wagombea wa Urais Zanzibar kupitia chama cha Mapinduzi wakawe waangalifu katika kunadi sera zao wasiumizane kwani watawapa nafasi Washindani wao.

Zaidi ya hayo, Rais Magufuli amewasisitiza wagombea kutoka ngazi mbalimbali wa Chama hicho kuwa wavumilivu na kutokugombana. Ikitokea akapota yopyote kutoka kwa wengi waliotia nia wote wamuunge mkono.

Katika hili Rais Magufuli amesema "Tukigombana wakati wa kampeni tutapoteza Direction. Atakayechaguliwa wakati wa kampeni tumbebe. Nafasi zipo nyingi za kuteua na hata sasa zipo kama 4 sijateua. Najiuliza nimteue nani? Muhimu ni tushike Dola kwanza."

Sambamba na hilo, Rais Magufuli ametoa rai kuwa vijana na Wanawake pia wanatakiwa kupewa nafasi katika kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa mwaka huu.

Akiongelea kuhusu harakati za maendeleo mbalimbali zilizotekelezwa na awamu ya tano, Rais magufuli amesema kuwa Nchi hii ni tajiri isipokuwa ufisadi ulikuwa unakwamisha nchi kwenda mbele, kilichokuwa kinapatikana hakikuenda kwa walengwa ndio maana katika utawala wake miradi mbalimbali ikiwamo ujenzi wa ndege imewezekana.

Rais magufuli amesema "tunataka kila Mtanzania wa kila mahali afaidike na matunda na Rasilimali tulizopewa na Mungu"

Rais Magufufuli amesema kuwa Tanzania ni nchi ya 10 kwa Afrika kwa kuwa na uchumi mkubwa lakini pia ni miongoni mwa nchi tano Afrika ambazo uchumi wake unakuwa kwa kasi.

Zaidi ya hayo, Rais Magufuli amesisitiza Wanaccm na Watanzania kumuunga mkono katika kujenga taifa la Tanzania.

Mwisho, Rais Magufuli amepiga picha za kumbukumbu na Wanachama mbalimbali wa Chama cha Mapinduzi waliohudhuria tukio hilo.
 
(Ushauri wa JF Mods, tafadhali usichanganye mada. Haina maana kuitoa mada ya muandishi na kuichanganya na mada zigine. Hii sio mada ya taarifa bali ni mada fikirishi. Mods chonde chonde tusidhibiti fikra maadam hakuna utaratibu umekiukwa)

Ndugu zangu wana JF, nimerudisha bandiko hili baada ya Moderator kuchanganya na mada nyingine.

Rais John Pombe Magufuli leo karejesha form ili kuwania ungwe ya dakika 45 za pili kukamilisha dakika 90 za awamu ya 5 ambayo ni miaka 10. Leo naomba kuwananga vijana hasa UVCCM ili muoni nini mnaweza kufanya dakika 45 zilizosalia. Naandika haya ni
kiwa na hakika mgombea wenu ana nafasi kubwa sana ya kupata uteuzi wa CCM na kupigiwa kura October mwaka huu.

Magufuli Rais wangu nakusifu sana sio kama wale wengine wanaoitwa “Paise Team” ila kwa kuwa umekuwa na upekee kuiona nchi hii ni tajiri na umekuwa ukijangamba kwa nguvu kwenye hili huku ukitekeleza mengi kwa ilani ya CCM na kufanya yale yalio kwenye mpango wa taifa ili kuifikia Tanzania Dev. Vision 2025.

Pamoja na mengi yanayofanyika serikalini baada ya kuja na kauli mbiu ya kuijenga Tanzania na kukuza uchumi wake kwa kutumia viwanda, nadhani ndani ya chama chako CCM kuna watu wanakosa msaada kwa wana CCM na Watanzania as a whole; hapa ntawagusa vijana maana wana nguvu ya kifikra na ilitakiwa moja ya fikra iwe kufikiria na kutekeleza kwa vitendo kwa walau kuwa na model factory inayomilikiwa na vijana hata kama hawausiki moja kwa moja na management ya daily operations. Ntafanua na kuja na mifano rahisi.

Mmoja wa wahusika kwenye changamoto hii ni pamoja na Dr. Frank Haule ambae ni Mkuu wa Idara ya Uchumi ya CCM.

Nadhani wengi tunakumbuka kuwa Mwl. Nyerere ameiachia CCM assets nyingi sana ikiwemo majengo na viwanja maeneo mengi na sehemu za kimkakati kabisa kama Lumumba Dar au Mwanza na miji mingine. Mpaka sasa majengo yamekuwa ni asset kwa kupangisha na hivyo kuingiza fedha kwenye kapu kuu pia kutoa ajira. Majengo ni service sector. Nataka niwafikirishe kwenda kwenye manufacturing sector.

Kwa kuwa vijana wa CCM mna bahati ya kuwa na Mkiti wa CCM ndg. Magufuli ambae ana sifa kubwa ya kudiriki na kutekeleza makubwa, nadhani ilitakiwa vijana ndani ya chama toka JPM ameingia madarakani walau wangekuwa wamejenga hata kiwanda kimoja. Say, kiwanda cha kuchambua pamba na kutengeneza vitambaa vya kijani/njano au vitenge kwa soko la CCM kwa kuwanzia. Kwakuwa chama kina wanachama zaidi la milioni 6, maana yake kiwanda kikitengeneza skafu, vitambaa vya leso, bendera kubwa, bendera za mezani, vitenge/ batiki kama uniform ya mwenge kila mwaka, vitambaa vyeusi kwa ajili ya suruali au sketi; hizi fedha za kuagiza kila siku india basi CCM kama taasisi ifanye vitu kwa ubora ili kutengeneza ajira kwa wana CCM ambao watapata ajira viwandani au mtanzania yeyote.

Kampeni za mwaka huu, ingenogeshwa kwa vitambaa vya mapambo na hiena hiena zote zikiwa ni made in Tanzania kupitia industries owned by CCM hususan wing ya vijana.

Kwanini chini ya UVCCM kusianzishwe kurugenzi maalumu ya kukuza uchumi na biashara kwa kutumia viwanda vya kimkakati ambavyo soko lake hata likilenga wana CCM kwa kuanzia kama mtaji. Mpaka lini kwenye kampeni ndio Tshirts za skafu za wabunge zinatoka CHINA; hapa nawashaurini mfanye namna mdake fursa ungwe ya 2020-25

Najinasibu na kujivunia Tanzania yangu kwa maana naona JPM anaota ndoto kubwa sana, ila anakosa wasaidizi ikiwamo kwenye level ya chama kutafsiri ndoto kwa picha kutengeneza bidhaa ambazo CCM kama taasisi na watu wake wanaweza kuwa consumers.

Cha msingi kuwa na nidhamu kwa kuwa na menejimenti mahiri ili uendeshaji wa kiwanda usifanyike kisiasa na malipo yafanyike kwa kila bidhaa itakayonunuliwa kiwandani kwa mahitaji ya bendera, vitambaa, vitenge, batiki nk.

China kwanini hanunui bendera zake Marekani; China kwanini hanunui sare za watu wake marekani au India?

Sina maana kuwakosea heshima wenye chama chenu, ila niko hapa kuwapa kufikiri sana kwa manufaa ya kumfagilia Mkulu ila wakati huo huo, namna gani kudaka kwa vitendo ndoto ya kujenga kiwanda ambacho vitambaa vya aina mbalimbali vutakavyozalishwa hapo kwa ubora wa soko, vitaweza kuwashawishi mafundi cherehani wawe na chama au hawana chama kununua kwenu.

Hili likifanyika, litaongeza mzunguko wa fedha kwa kupunguza imports za vitambaa toka China/India au kokote kule ambako kila mwaka tuna-agiza. Sio ufahari kuagiza kila mwaka vitu ambavyo malighafi pamba ipo na soko la wanaovaa nguo wapo.

Mkiona mnakosa watu wenye DNA ya kufikiri hivyo ndani ya CCM, maana yake watafutwe ndani ya Tanzania, wakikosekana basi hata nje ya nchi tuwalete ili kujenga uchumi jumuishi.

Nimetoa mfano wa textile industry, linaweza lisiwe wazo feasible kwenu, ila kwanini msifikiri kwenye sekta zingine ambazo soko lake lipo. Mfani mwingine, sukari ya matumizi ya nyumbani na viwanda kila mwaka tuna import zaidi ya tani 50,000.

Kama jengo la vijana ambalo Nyerere kaliacha lina function kuingiza fedha mpaka sasa, kwanini basi lisitafutwe wazo hata la kiwanda cha kutengeneza soft brooms na hard brooms, na moppers kwa ajili ya matumizi ya maofisi na majumbani na kuacha kununua mifagio na moppers made and imported from China.

Ni wazo tu kwenu wakubwa, mnapojenga miundombinu ya uchumi mkubwa kama SGR na Nyerere Hydro Electric Power Dam, pia hata huu uchumi mdogo mdogo wa mifagio ya maofisini ikiwa made in Tanzania kuna fedha si haba zitaingia kwenye mifuko, mabenki, mobile money na kote huko kuna deductions serikali inapata in the course of spending.

Shalom.
 
Haya maneno ni mazito sana. Ally Kesi naona aandae tu ile hoja maana dalili imeanza.
Screenshot_20200630-160504_Twitter.jpg
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Mbona hiyo kauli haieleweki
 
Aisee ilikuwa haina haja ya kuchukua fomu mana si hakuna demokrasia
 
Kuna kila dalili hata NEC fomu zake wakishapokea za CCM basi ofisi inafungwa na kila anayerudisha fomu mkurugenzi wa NEC hatakuwepo ofisini
Halafu watampongeza kwa kufanikiwa kurudisha form peke yake
 
Back
Top Bottom