Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

Mama nipewe nafasi yoyote nipo radhi kufanya kazi 14hrs a day, punda mtwike mzigo najua utapitia hii comment ukiwa Zanzibar kwenye tamasha la kizimkazi. Kwenye kitengo tu ndio sichagui ila nachotaka niwe bize
 
Hakika hakuna anaejua kesho itakuwaje.

Godbless Lema huwa anasema sana huu msemo. Kesho ni ndefu sana.
Kesho yako ndiyo ndefu hao jamaa wanabebana kishenzi refer kesi ya sabaya
 
Hawatamaliza hata miaka miwili wanatoka baada ya kukata rufaa.
 
Hiyo miezi 14 itapunguzwa kwenye hiyo miaka 20 ?.... anyway Ccm imemzamisha.
 
Ilikuwa mwaka gani?
 
Haya mambo ya uhujumu uchumi si walisema hayatakuwepo tena baada ya Magu kufa..mbona bado yanaendelea sasa?
Jiwe alifanya kwa uonezi, sema Mungu ndiye aliingilia kati tukanusurika
 
Hapakuwa na option ya fain hata ya 5ml
 
Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwengine kwa faida yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…