Dkt. John Pima aliyekuwa DED Arusha na wenzake wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela


Kuna makosa hayana msamaha
 
Fagio la chuma la Rais Mwinyi? Kuna watu bado wanadai tumehuru, ya nini kama mambo yako swafi kama hivi majambazi wanafungwa?
 
Halafu hizi du ova zako zinaboa hazikupi umaarufu jamiiforum mwanzo nilikuwa nakuona wa maana mtoto wa mjini ila umezidisha duova hadi unaboa maana huna constructive contribution yoyote ile kwasasa otherwise umaarufu umekufikisha kwenye Peter Principal huna jipya.
 
Kila kitu kila post wewe ni du ova du ova huu ni ushamba YANI ushajiona star jf
 
Duh!...Ila Ccm wanaweza kumpa tu cheo hata kama akikosa ubunge.
 
Duh!...Ila Ccm wanaweza kumpa tu cheo hata kama akikosa ubunge.
Kwenye siasa lolote linawezekana. Uliwahi kuota CHADEMA wangemteua mtuhumiwa wao mkuu wa ufisadi kuwa mgombea wao wa urais?
 
Jomba mbona unalialia sana? Hizo Ova zinakupunguzia nini kwenye maisha yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…