SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Washakufumua marinda unavaa pampas kama mtotoDogokula kulala, pesa anayotumia babaako kuwanunulia chakula unafikiri anaitoa wapi kama sio kwenye ushoga?
Msukuma wako HANA ubavu wa kupimana na wana JF humu mtandaoni!Members wa JF baadhi mmegeuka bullies and demigods!!
Kwamba wewe ndio unakadiria nani ana haki ya kutoa hoja zake JF na nani hana?!? Acha kutisha watu, kamtishe mkeo na wanao!
Hongera sana King Dr. J.K Msukuma (Mb)
Ni kweli Magufuli nilimchukia sana hata baada ya kufa namchukia tu. Hata akifufuka nikawa wa kwanza kumuona nitamtamtandika afe mara ya pili
Sasa Dr Msukuma Kasheku ataelewa hiyo lugha ya malkia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Magu anachukiwa na watu mafisadi,wala rushwa wenye vyeti feki,wezi wa mali za umma na viongozi majipu ,watu wachafu wa aina hizo
Sijui ww upo kundi gani kati ya niliyotaja hapo juu
Wananchi walimpenda kwasababu alikuwa kiongozi mchapakazi,Muwazi,mwenye maamuzi ya haraka,aliwapigania wanyonge machinga mamantilie,bodaboda,walifanya biashara kwa uhuru,miundombinu ilijengwa,huduma za jamii zilikuwa bora maji na umeme
Sasa ww unaemchukia Magu na kabila lake una akili kweli?
Uwajibu tu muhaziri Wa chuo nisichokijuwa#NUKUU "Bahati mbaya mimi siko mitandaoni na kuhusu wanaonibeza, mimi nitazungumza kuanzia Ijumaa, sasa hivi bado nasoma tu hayo mambo yao wanayoyaandika,"- Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma
Chanzo: @supabreakfast ya @earadiofm
View attachment 2036973
Wavuvi tulimfanya nini mbona ametudhulumu amekwenda malana kubwa tulimuomba muumba amwite akajibu ndioilikuwa duwa yetuYy mwenyw alikuwa ana cheti fek
Huyu jamaa anadhani kuwa digrii ni kuvaa joho hilo, ambalo hata hajui kulivaa; ile hood ambayo ndiyo hivikwa na profesa anayekuwa anatunuku digrii hiyo limewekwa begani kama taulo, au huenda hakupewa hiyo hood kabisa, waliangalia marangirangi kwenye kanzu tu.
I like it. Na wala haipingiki, kwani ametafsiri vizuri tu.