Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Dkt. Joseph Kasheku Musukuma: Napitia post za wanaonibeza mitandaoni, kuanzia Ijumaa nitaanza kuwajibu

Watanzania kwa kununua vyeti .tunashindana na Wanaigeria
 
Members wa JF baadhi mmegeuka bullies and demigods!!

Kwamba wewe ndio unakadiria nani ana haki ya kutoa hoja zake JF na nani hana?!? Acha kutisha watu, kamtishe mkeo na wanao!

Hongera sana King Dr. J.K Msukuma (Mb)
Msukuma wako HANA ubavu wa kupimana na wana JF humu mtandaoni!
Na hawezi tetea huo wadhifa wa Pubic hair Dresser(PhD)
 
Yy mwenyw alikuwa ana cheti fek
Magu anachukiwa na watu mafisadi,wala rushwa wenye vyeti feki,wezi wa mali za umma na viongozi majipu ,watu wachafu wa aina hizo
Sijui ww upo kundi gani kati ya niliyotaja hapo juu

Wananchi walimpenda kwasababu alikuwa kiongozi mchapakazi,Muwazi,mwenye maamuzi ya haraka,aliwapigania wanyonge machinga mamantilie,bodaboda,walifanya biashara kwa uhuru,miundombinu ilijengwa,huduma za jamii zilikuwa bora maji na umeme

Sasa ww unaemchukia Magu na kabila lake una akili kweli?
 
MaCCM akili zao hazina akili.. mchawi mchawi tu. Nini hiki sasa..

View attachment 2037053
Huyu jamaa anadhani kuwa digrii ni kuvaa joho hilo, ambalo hata hajui kulivaa; ile hood ambayo ndiyo hivikwa na profesa anayekuwa anatunuku digrii hiyo limewekwa begani kama taulo, au huenda hakupewa hiyo hood kabisa, waliangalia marangirangi kwenye kanzu tu.
 
Kuna Mambo mtu unayaacha yapite TU coz hayana impact Wala hayaathiri chochote ktk maisha binafsi.

By the way Sasa tusubiri tuone jinsi ataisaidia jamii .
 
Back
Top Bottom