Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Haridhiki ana tafuta tu UGALI huyu.
NA ALIWAHI KUGOMBEA URAIS SIJUI INGE KUWAJEE
FB_IMG_1617542610054.jpg
 
Na jina Hamis kwa kiislamu linamaanisha nini bwashee?

Maana huyu Kigwangalla mambo yake na yale ya babu Tale na mwanaFA yanafanana sana!
Nahisi imetokana na siku ya 5 ya wiki.. Kiswali Alhamisi, au kizaramo tunasema alihamisi.
 
HK ni mwanasiasa. Na mwanasiasa kwa unafiki moja ya sifa yao kuu.

Nape aliposema raisi SSH ni mwanasiasa mzuri niliogopa sana.

Ila HK umejishushia heshima sanaaa kwa waTz
 
Huyu sio ndo pia alitaka kutuharibia Simba leo hii tusingekuwa tnaongelea robo fainali
 
Ni mnafiki mno! Mambo mengine ni bora ukae kimya kama ulivyo kaa kimya ulipoona haifai ukakaa kimya tena uliunga mkono bila kushinikizwa na hata kushauri hoteli za kitalii ziwekewe nyungu! Shame on you!...
Hujaacha tu kujitoa ufahamu siyo. Dawa ya NIMR ipi unazunguzia? Ile ni dawa? Mbona unakuwa kama Magufuli. Alivyokuwa anasema kuhusu hiyo dawa ungedhani covid imepata mbabe. Nakumbuka siku moja alikuwa anasema tena kwa madharau kabisa madaktari wakiugua wanatumia hiyo ''dawa'' ndiyo maana hawana wasiwasi na corona.

Matokeo yake corona ilipompata siyo dawa na siyo nyungu, hakuna kilichomsaidia. Wakaishia kumpeleka Kenya kwa kificho kama mali ya magendo. Sidhihaki wala sifurahii lakini vitu vingine ubishi na dharau vitakuangamiza.
 
Back
Top Bottom