Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uwe unaangalia na watu wa kugeuka nawewe mkuu, unamwaangalia jinsi alivyo kwanza.
Nahisi imetokana na siku ya 5 ya wiki.. Kiswali Alhamisi, au kizaramo tunasema alihamisi.Na jina Hamis kwa kiislamu linamaanisha nini bwashee?
Maana huyu Kigwangalla mambo yake na yale ya babu Tale na mwanaFA yanafanana sana!
Mimi nashangaa sana watu wanamshangaa Kigwangala. Hivi huyu watu hawajajui ni kilaza wa kiwango cha juu kabisa? Huyu tangu wakati wa Kikwete mbona alishajionyesha kabisa ni mbumbumbu kabisa!Mataga wameanza kumkataa marehemu pombe live bila chenga.
Mtanikana mara tatuKabla Jogoo hajawika.......
Hujaacha tu kujitoa ufahamu siyo. Dawa ya NIMR ipi unazunguzia? Ile ni dawa? Mbona unakuwa kama Magufuli. Alivyokuwa anasema kuhusu hiyo dawa ungedhani covid imepata mbabe. Nakumbuka siku moja alikuwa anasema tena kwa madharau kabisa madaktari wakiugua wanatumia hiyo ''dawa'' ndiyo maana hawana wasiwasi na corona.Ni mnafiki mno! Mambo mengine ni bora ukae kimya kama ulivyo kaa kimya ulipoona haifai ukakaa kimya tena uliunga mkono bila kushinikizwa na hata kushauri hoteli za kitalii ziwekewe nyungu! Shame on you!...
Simjui mtu huyu..Mtanikana mara tatu
Hakika humjui mtu huyu?. Wewe ni mmojawao 1Simjui mtu huyu..
Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mgalilaya.Hakika humjui mtu huyu?. Wewe ni mmojawao 1
Credibility ya kauli yake ipo wapi!wakati alitupa sayansi pembeni na kupakwa mavumba ya nyungu kivumbasi!!Hata wewe ulikuwa pamoja na Yesu Mgalilaya.
Jamaa ni Doctor ya PhD au kama Profesa Ndumilakuwili?Credibility ya kauli yake ipo wapi!wakati alitupa sayansi pembeni na kupakwa mavumba ya nyungu!!
[emoji38][emoji16][emoji1]View attachment 1743416