Comment ya kipuuziWewe mbona Baba yako hajakuachia mali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Comment ya kipuuziWewe mbona Baba yako hajakuachia mali?
Baba yake MoHadi leo zile mali ni za baba yake.
Watu wengi hawalijui hili.Baba yake Mo
Mwenzake Shabiby yuko kivyake sio kifamilia!
Kaka hivi si ni kama kukanyaga mafuta pale Kawe?Mwenye uwezo wake wa kufikiri[emoji4]
Tena ni Daktari wa binadamu professional miaka 5 chuo kikuu,
Tena kwa BOOM la serikali,
Ambazo Ni pesa za walipa kodi,
akiwemo uyo aliemtaja kua na uwezo mdg kufikiri[emoji4]
View attachment 2589737
kanuni ,ili uthibitishe kwamba flani ni dhaifu katika uga wa biashara unatakiwa umpiku muhusika,je kingwa kampiku nini MOHAMMED? kama sio ushirikina tu?Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
Source Star tv Medani za Siasa
Dah 😆Kamfuta urafiki 😄 walikuwa wamepinga kuwa marafiki kwani
Utajiri wa kurithi haukufanyi kuwa na akili. Kwanza utajiri wowote haukufanyi kuwa na akili.Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo
kingwa ni mbumbumbu,yaani mwenzake anapenetrate soko la Afrika,anaingia kwenye copetition ya mabilionea Afrika na Duniani ,Halafu unasema uwezo wa kufikiri ni mdogo? ni rahisi kupenya kwenye siasa hata kwa mbumbumbu lakini sio BIASHARA,biashara wanapenya magician tuMwenye uwezo wake wa kufikiri[emoji4]
Tena ni Daktari wa binadamu professional miaka 5 chuo kikuu,
Tena kwa BOOM la serikali,
Ambazo Ni pesa za walipa kodi,
akiwemo uyo aliemtaja kua na uwezo mdg kufikiri[emoji4]
View attachment 2589737
Unaweza kukuta ndio huyu anayekopakopa kwenye Benki 5Kigwangala kuhusu MO kasema ukweli kabisa, sbb MO kwanza ni tapeli mkubwa, katapeli Simba, hajatoa hata senti ktk bil 20 za kununua shares za Simba, ila kachukua 51% ya shares za Simba, kiuwizi kabisa, Wizara ya Michezo na uongozi wa Simba uko kimya tu..
MO is a crook, muongo sana, mwizi
Watu wengi wanadhani matajiri wote wapo bright sana kichwani ndio maana wamefanikiwa !! Kumbe ni zali tu limewaangukia 😅 !!Kweli lakini. Kigwangala ana nongwa ya kukosa uwaziri. Ila alichosema kwa MO ni kweli.
Hizi ni fikra mgando,hivi unajua MO alirithishwa only 50B,miakaa 20 iliyopita leo ana 3.5T,hivi unafikiri ni rahisi kufanya multiplication?,haya make sure nawe unafanya wanao warithi kwako,secondly sio kila mtu anaweza kufanya biashara ni wachache ambao wanaupeo unaoeleweka,ni sahihi utajiri haukufanyi kuwa na akili bali akili ndio inakufanya uwe tajiri.Utajiri wa kurithi haukufanyi kuwa na akili. Kwanza utajiri wowote haukufanyi kuwa na akili.
kwanza hatambuliki katika barazaBora aliacha udaktari, kwa jinsi anavyoupepeta angetoa Siri za wagonjwa
kuwa na wewe muongo,tapeli ili utoboe mkuu kama ni rahisiKigwangala kuhusu MO kasema ukweli kabisa, sbb MO kwanza ni tapeli mkubwa, katapeli Simba, hajatoa hata senti ktk bil 20 za kununua shares za Simba, ila kachukua 51% ya shares za Simba, kiuwizi kabisa, Wizara ya Michezo na uongozi wa Simba uko kimya tu..
MO is a crook, muongo sana, mwizi