Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Hivi ukiwa kwenye interview au mahojiano kama Yale ni lazima Kila unachoulizwa ujibu!?Kuna point ndogo sana aliikosa kigwangala kwenye Yale mahojiano PAUSE kama angepause kidogo angegundua hiyo Hoja ilishapita mda mrefu sana
Angemwambia mwandishi Hilo tuachane nalo
 
Hivi ukiwa kwenye interview au mahojiano kama Yale ni lazima Kila unachoulizwa ujibu!?Kuna point ndogo sana aliikosa kigwangala kwenye Yale mahojiano PAUSE kama angepause kidogo angegundua hiyo Hoja ilishapita mda mrefu sana
Angemwambia mwandishi Hilo tuachane nalo
si kwa sababu logic yake ni ndogo,na hata hicho kipindi ukute alikinunua
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

Source Star tv Medani za Siasa
Kigwa ana hasira tangu mkopo utoke khaaas......
 
Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake

Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla

Source Star tv Medani za Siasa
Mwambie apake wanja mweusi ule mdomo wake.Au hata mkaa.Mdomo umebabuka utadhani anatokea misitu ya Virunga!
 
Back
Top Bottom