mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Ukishaingia au ukiingizwa kwenye mkondo wa pesa basi pesa zitakuja tu 😅. Tuwasifu labda walioanzia alifu kwa kijiti wakafikia kama yeye kama wapo !Zali kivipi? Embu nieleezee mimi ndugu hili zali linakuwaje?