Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Kamfuta urafiki 😄 walikuwa wamepinga kuwa marafiki kwani
Samahani sana kama nawakwaza watu. Mimi napenda sana usawa lakini nasema hivi: Mhindi si mwenzako wewe mweusi. Anakupenda wakati anaona anafaidi kitu kutoka kwako. Kigwangala hana cheo sasa hivi hivyo Mo hawezi kumnyenyekea. Ni lazima wakosane. Na Mo naye hapo Yanga yupo kimaslahi tu. Hata CCM nako yuko kimaslahi.
 
Samahani sana kama nawakwaza watu. Mimi napenda sana usawa lakini nasema hivi: Mhindi si mwenzako wewe mweusi. Anakupenda wakati anaona anafaidi kitu kutoka kwako. Kigwangala hana cheo sasa hivi hivyo Mo hawezi kumnyenyekea. Ni lazima wakosane. Na Mo naye hapo Yanga yupo kimaslahi tu. Hata CCM nako yuko kimaslahi.
Ilo ni sawa kabisa mimi naona kusema mtu fulani nimemfuta urafiki ni kauli ya kitoto sana
 
Anatafuta umaarufu kupitia Mo.

Mo mwenyewe hata hamuongeleagi.

Yeye kutwa kiguru na njia kumuwaza Mo tu na kumuongelea vibaya,sijui Mo alimtoa marinda na akakudump ndio maana ana hasira nae.

Yeye Mo ndio amempuuza kwani hana nafasi yoyote ya kumfanya Mo awe vile alivyo.
 
Una uhakika MO ana uwezo wa kiuchumi au ni urithi

I have enough properties for my generations and generations to come, au ww unajua ukimuona mtu hapa JF ni just an ordinary guy.. MO ni mwizi mkubwa
Anzie hapo,kisha jipige kifua,kama una vyako kwa ajili ya kizazi chako kama ulivyosema basi kizazi chako kikiwa na akili yaku multiply kilicho achwa nawe ni akili kubwa sana ,na hapo ndipo kwenye hoja ,,but nazungumzia mali zinazoishi na sio hizo ambazo depleciation huongezeka kila uchwao,stating something in an opposite way it doesn't mean that you count some body as an ordinary.
 
Ex Mh. Kigwangala, nafikiri siyo sahihi alichosema, Mo is rich, one of the top rich dude in the Country. You may say he just inherited it, okay how wrong has he been administering the Mo Companies? it has been for ages that needs big brain [emoji3447] for Gods sake! To me looks like there are some personal issues between them two or jealous I guess!
 
Anzie hapo,kisha jipige kifua,kama una vyako kwa ajili ya kizazi chako kama ulivyosema basi kizazi chako kikiwa na akili yaku multiply kilicho achwa nawe ni akili kubwa sana ,na hapo ndipo kwenye hoja ,,but nazungumzia mali zinazoishi na sio hizo ambazo depleciation huongezeka kila uchwao,stating something in an opposite way it doesn't mean that you count some body as an ordinary.

Treasury bonds, fixed assets and daily multiple incomes will do, ukiwekeza hapo vyema, huna wasiwasi, the biggest problem to any human being to break poverty cycle, is how can you get your first billion.. Ukiweza hapo na ukamultiply to 2 or 5 bil to 10 bil, the rest huna shida ni kusimamia and change all to fixed and treasury bonds, hutapata shida.. Learn how to build your wealth kwa njia nyingi to get your first bil.. tshs.
 
Wangapi wanarithishwa Mali na wanazichezea na kurudi kuwa omba omba,. Kuweza kuendeleza Mali ulizorithi kunahitaji usmart wa hatari
Mo hajarithishwa amekabidhiwa mtendaji mkuu na msimamizi, wakati huo akiendesha biashara na familia
 
Back
Top Bottom