Wenye uwezo mdogo kufikir wengi wao wanalipwa na kutegemea kuish kwa kodi za walalahoi.
Mo is a billionair and anyone worth bilions is super smart..
Kigwa aendelee tu kufuga ngombe
Watu wengi wanadhani matajiri wote wapo bright sana kichwani ndio maana wamefanikiwa !! Kumbe ni zali tu limewaangukia [emoji28] !!
Kuna njia nne tu za kuwa tajir wa level hizo.Ubilionea wa Mo ni wa kurithi
no mara waaaa,biashara zote zipo chini ya usimamizi wake na zinatambulika kwa jina la yeye,ulisikia wapi IMF,WB, na Forbes wanamtaja Mzee Dewji?Kumbuka yeye MO ni kivuli, Mtendaji ni baba yake ujue na yupo hai
Acha porojo wewee. Ziweke hapa hadharani. Nyinyi ndo mna akiba ya shilling million 50 benki kelele kila mahali.I have enough properties for my generations and generations to come, au ww unajua ukimuona mtu hapa JF ni just an ordinary guy.. MO ni mwizi mkubwa
Hizi ni fikra mgando,hivi unajua MO alirithishwa only 50B,miakaa 20 iliyopita leo ana 3.5T,hivi unafikiri ni rahisi kufanya multiplication?,haya make sure nawe unafanya wanao warithi kwako,secondly sio kila mtu anaweza kufanya biashara ni wachache ambao wanaupeo unaoeleweka,ni sahihi utajiri haukufanyi kuwa na akili bali akili ndio inakufanya uwe tajiri.
Hizi ni fikra mgando,hivi unajua MO alirithishwa only 50B,miakaa 20 iliyopita leo ana 3.5T,hivi unafikiri ni rahisi kufanya multiplication?,haya make sure nawe unafanya wanao warithi kwako,secondly sio kila mtu anaweza kufanya biashara ni wachache ambao wanaupeo unaoeleweka,ni sahihi utajiri haukufanyi kuwa na akili bali akili ndio inakufanya uwe tajiri.
Hajarithi anasimamia tuKuna njia nne tu za kuwa tajir wa level hizo.
1. Kurith
2.Kuoa tajir
3.Bidii ya kaz na kipaji
4.Kuiba.
Sasa yeye yupo ya 1... Kuna tatizo?
Tena angeweza kufanya zaidi kwa sababu Mo anaigaiga tu mikwaju ya akina BakhresaWewe ungekuta baba yako ana 50B benki, viwanda, mashamba ya mkonge elfu za ekari, godauni kila kona na umesomeshwa vyuo bora Marekani ungeshindwa kufanya multiplication ya huo utajiri??
Huyu alimalizana na Bashe?Mbunge wa Nzega Vijijini Dr Hamis Kigwangalla amesema Mohamed Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri ndio sababu amemfuta kwenye orodha ya Rafiki zake
Nimeamua kumpuuza na kumuondoa kwenye orodha ya Rafiki zangu, amesema Waziri wa zamani wa Utalii Dr Kigwangalla
View attachment 2589854
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
Wee shoga bado hutulizi makalio, muda wako ukifika usali, nyoko kabisaHuna chochote mbwa wewe
Wangapi wanarithishwa Mali na wanazichezea na kurudi kuwa omba omba,. Kuweza kuendeleza Mali ulizorithi kunahitaji usmart wa hatari
MO hela anayo au hanaHayo ni matango Pori . Baba yake MO ndiyo decision maker, ref issue ya magunia ya korosho wakati wa JPM
wewe wako wakurithi uko wapi, tajiri wa 20 na 21 duniani wamerithiUbilionea wa Mo ni wa kurithi
Counter offensive kali kabisa hii.Huyo hk kama anauwezo mkubwa wa kufikiri ni wakati sasa nayeye awe na uwezo wa kiuchumi kama Mo